Boniface Mwangi ni Nani?

Mwamba kajichanganya mtumbwi wa vibwengo
Actualy hajajichanganya, hana kosa lolote kisheria is why wanashindwa kumfungulia kesi

Incase unataka cv yake , ni kenyan photojournalist, politician, and activist, alipata umaarufu 2007-2008, alipata tuzo ya CNN africa kama mpiga picha bora 2008-2010

Na ameshiriki activitis nyingi sana kenya, ni one of reowned journalist
 
Tuzo my foot. Kakutana na wajuaji zaidi yake. Anacheza na chatu Tu mida hii
 
Tuzo my foot. Kakutana na wajuaji zaidi yake. Anacheza na chatu Tu mida hii
Sasa unachokataa ni nini? Yes ana tuzo.
mamlaka zilikosea kukuri kuwa wapo nae, hapo walikosea. Hawawez fanya ishu ya maana sana watamrudisha eventualy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…