Inamaana bomoabomoa ndiyo inchi inasonga mbele?mbona wanaumia maskini tu.ona hii vinavyochangia umaskini katika nchi hii wala si ujenzi holela ni moja rushwa 2mashirika ya uma kuchukuliwa na watu binafsi mfano uda3 kodi kuna watu hawalipi kodi 4 viongozi kutokuwa waaminifu