Mwaka huu ni balaa ila walisema wanasubir watoe majina ya wanafunz ndio bodi ya mkopo ianze mchakato, sasa jiulize vyuo vinginevyo vinafungua tarehe 8 mwez wa kumi, sasa kama mtu kapata chuo afu alikosea kujaza inakuweje, acheni tu hapa Kaz tu
Duuuuuu!!!!!!!!!makubwa mwakajana mwezi wa Tisa tarehe 9nakumbuka walitoa majina ya watu waliokosea sasa sijajua mwaka huu kuna nn au kwasababu tulisikani picha maana ndo mojawapo ya makos a lakini hata makosa ya sahihi kusahau kukata isigohusika sijuu vyuo vinafungua Bodi sirent
Vumilieni, hata kama kinafunfuliwa kesho. Zama zetu ilikuwa zinatoka hadi batch 20 za majina ya mkopo, so unakuta mtu anakuja kupata mkopo semister ya pili. Labda tunarejea kule.
Vumilieni, hata kama kinafunfuliwa kesho. Zama zetu ilikuwa zinatoka hadi batch 20 za majina ya mkopo, so unakuta mtu anakuja kupata mkopo semister ya pili. Labda tunarejea kule.