BODI YA MIKOPO

sir doctor

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
291
Reaction score
66
Mbona wako kimya sana mwaka huu??? Hata majina waliokosea kuomba hawajatoa!!! Au mwaka huu hayupo aliyekosea kuomba?????
 
Mwaka huu ni balaa ila walisema wanasubir watoe majina ya wanafunz ndio bodi ya mkopo ianze mchakato, sasa jiulize vyuo vinginevyo vinafungua tarehe 8 mwez wa kumi, sasa kama mtu kapata chuo afu alikosea kujaza inakuweje, acheni tu hapa Kaz tu
 
Duuuuuu!!!!!!!!!makubwa mwakajana mwezi wa Tisa tarehe 9nakumbuka walitoa majina ya watu waliokosea sasa sijajua mwaka huu kuna nn au kwasababu tulisikani picha maana ndo mojawapo ya makos a lakini hata makosa ya sahihi kusahau kukata isigohusika sijuu vyuo vinafungua Bodi sirent
 
Kwani mlivyosikia kuna jamaa anataka muishi kama mashetani mlielewaje???
 
Vumilieni, hata kama kinafunfuliwa kesho. Zama zetu ilikuwa zinatoka hadi batch 20 za majina ya mkopo, so unakuta mtu anakuja kupata mkopo semister ya pili. Labda tunarejea kule.
 
Inasekana hata kama kuna watu waliokosea watarekebisha pindi watakapokua vyuoni huko huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…