Jamani hivi mbona mwaka huu bodi ya mikopo "heslb" wamechelewa sana kutoa majina ya wanafunzi watakaohitajika kwenda kurekebisha ili kama kuna mapungufu watu wakarekebishe kama kuweka sahihi ,picha nk ....! Ukilinganisha na mwaka Jana
Au wametusahau tena
Jamani hivi mbona mwaka huu bodi ya mikopo "heslb" wamechelewa sana kutoa majina ya wanafunzi watakaohitajika kwenda kurekebisha ili kama kuna mapungufu watu wakarekebishe kama kuweka sahihi ,picha nk ....! Ukilinganisha na mwaka Jana
Au wametusahau tena
wale wa vijijini huko tabora , mwanza igeni kaskazini waliomchagua lowasa, nyie mlijifanya mnajua ndio hayo sasa, ila mmejifunza next time u goner be so carefull 2020
Jamani hivi mbona mwaka huu bodi ya mikopo "heslb" wamechelewa sana kutoa majina ya wanafunzi watakaohitajika kwenda kurekebisha ili kama kuna mapungufu watu wakarekebishe kama kuweka sahihi ,picha nk ....! Ukilinganisha na mwaka Jana
Au wametusahau tena
Hilo la peni si la kweli hawakuandika popote kwenye ile form na mfano mdogo ni rafiki yangu mwaka jana katumia peni ya blue mwanzo mwisho na mkopo kapata so nani ambaye alikosa mkopo kisa peni ila tu imezoeleka hivo watu kutumia peni nyeusi ila si lazima maana nina mifano ya watu walotumia peni ya blue na mikopo wanayo mkuu
Hilo la peni si la kweli hawakuandika popote kwenye ile form na mfano mdogo ni rafiki yangu mwaka jana katumia peni ya blue mwanzo mwisho na mkopo kapata so nani ambaye alikosa mkopo kisa peni ila tu imezoeleka hivo watu kutumia peni nyeusi ila si lazima maana nina mifano ya watu walotumia peni ya blue na mikopo wanayo mkuu
Kuna Brother Wangu Mmoja Aliapply Chuo Mwaka 2011 Hilo Sharti La Wino Lilikuwemo Katika Fomu Ya Mkopo Kuwa Ni Lazima Utumia Black ink.
Lakini Kwa Sasa Sharti Hilo Limeshaondoshwa Katika Fomu Ya Mkopo ingawa Haikutangazwa Officialy.
Kwahiyo Nafikiria Jamaa Bado Anareference Zile Za Zamani.