kuweni na subira ase mana hawa jamaa hawaeleweki mfano,mwaka jana watu hadi wameenda chuo na wameanza kusom majibu ya mkopo yalikuwa bado hadi watu wakaamua kujilipia ada na wao heslb wakaja wakatoa majibu mwezi wa 11 katikati,na hali hapo ilikuwa mbaya tayar kwa wanafunzi mkuu.si hamna namna waskizieni tu.
[HASHTAG]#usiforce[/HASHTAG] tufanane