Ibrahim augustine
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 428
- 575
Duuh
Njmesikia mpango wa serikali sins uhakika ila nimesikia tu!
Eti bloggers na youtubers watalipa million1 kama ada ya miaka 3 baada ya hapo watalipia tena
Kwahiyo kila baada ya miaka 3 tutakua tuna lips 1million
Duuh wangetupunguzia maana shida tunazopitia mungu ndo anajua
Domain tunazilipia
Bando tuna nunua
Content tuna andika mpaka mikono ina lemaa
+kodi
Aisee sijui wata tumia system IPI kuwapata bloggers na youtubers maana sijui kama watalipa
Hebu dondosha wazo lako wewe kama blogger au youtuber halafu tujue ni VP
Njmesikia mpango wa serikali sins uhakika ila nimesikia tu!
Eti bloggers na youtubers watalipa million1 kama ada ya miaka 3 baada ya hapo watalipia tena
Kwahiyo kila baada ya miaka 3 tutakua tuna lips 1million
Duuh wangetupunguzia maana shida tunazopitia mungu ndo anajua
Domain tunazilipia
Bando tuna nunua
Content tuna andika mpaka mikono ina lemaa
+kodi
Aisee sijui wata tumia system IPI kuwapata bloggers na youtubers maana sijui kama watalipa
Hebu dondosha wazo lako wewe kama blogger au youtuber halafu tujue ni VP