BlackBeryy kulikoni?

mabomu

Member
Joined
Feb 17, 2011
Posts
43
Reaction score
7
wadau tangu asubuhi blackberry imenigomea. kuna mwenye tatizo kama hili? hai-connect internet with tigo
 
Mie ninatumia tigo na inapiga mzigo kama kawa.. Asubuhi nilikuwa ninachat na mtu kwa bbm baadae ikawa haionyeshi delivery report.. Baada ya nusu saa akanitumia msg akisema iligoma kwake kwa muda but ikarudi..
 
Kwa hiyo 'blackberyy' yako lazima igome.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
B/B inadunda mzigo hata kwa tiGo
Jaribu tena utapata jibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…