mimi ni mwanaume rijali,,, jamii nzima ya jf inanijua,,,,, lakini nimegundua kua unapenda sana kuhonga,,, ntafanya mpango wa kutafuta mwanamke, akulainishe umuhonge hiyo simu,,,, nyie ndo mnaokufa maskini, mnashindwa hata kuwalipia watoto zenu ada kisa kuhonga
ndugu yangu samdala, naona kama vile hapa jf hakuna mtu anayeitaka product yako, nnachokushauri, kahonge, manake ushajionesha sana kua unapenda kuhongaa, kabla hata hao utakaoenda kuwahonga hawajaikataa kama ilivokataliwa hapa