M malembeka18 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 3,719 Reaction score 4,302 Jul 15, 2021 #1 Habar wakuu naomba mnijuze biomedical engineering nicourse inayohusika na nin na inapatikana chuo gani
Habar wakuu naomba mnijuze biomedical engineering nicourse inayohusika na nin na inapatikana chuo gani
funaku JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 38,534 Reaction score 31,198 Jul 15, 2021 #2 Ufundi/uhunzi wa vifaa vya tiba
T Teknocrat JF-Expert Member Joined Oct 20, 2018 Posts 7,958 Reaction score 15,752 Jul 15, 2021 #3 Kwa level ya nchi kibongo bongo utakuwa fundi mchundo wa vifaatiba Kwa nchi za mabeberu, utahusika na kudesign, na kuvumbua technologia mpya ya vifaatiba
Kwa level ya nchi kibongo bongo utakuwa fundi mchundo wa vifaatiba Kwa nchi za mabeberu, utahusika na kudesign, na kuvumbua technologia mpya ya vifaatiba
jiwe angavu JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 21,692 Reaction score 41,852 Jul 15, 2021 #4 Bongo wapo kusubiri kifaa cha tiba kiungue hospitalini..ili watengeneze..hakuna zaidi. #MaendeleoHayanaChama Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo wapo kusubiri kifaa cha tiba kiungue hospitalini..ili watengeneze..hakuna zaidi. #MaendeleoHayanaChama Sent using Jamii Forums mobile app
Pyredbello Member Joined Feb 25, 2018 Posts 54 Reaction score 35 Jul 18, 2021 #5 malembeka18 said: Habar wakuu naomba mnijuze biomedical engineering nicourse inayohusika na nin na inapatikana chuo gani Click to expand... Inapatikana Muhimbili pekee kwa Ngazi ya Degree Lakini utasoma vyuo viwili kwa wakati mmoja Mwaka wa kwanza Semister I (Muhas) Semister ya Pili (MUST) Then mpaka mwaka wa tatu ndipo utarudi tena Muhas kumaliza watatu na wanne
malembeka18 said: Habar wakuu naomba mnijuze biomedical engineering nicourse inayohusika na nin na inapatikana chuo gani Click to expand... Inapatikana Muhimbili pekee kwa Ngazi ya Degree Lakini utasoma vyuo viwili kwa wakati mmoja Mwaka wa kwanza Semister I (Muhas) Semister ya Pili (MUST) Then mpaka mwaka wa tatu ndipo utarudi tena Muhas kumaliza watatu na wanne
Quimica JF-Expert Member Joined Feb 21, 2018 Posts 1,117 Reaction score 1,391 Jul 18, 2021 #6 malembeka18 said: Habar wakuu naomba mnijuze biomedical engineering nicourse inayohusika na nin na inapatikana chuo gani Click to expand... Vifaa tiba ,ipo Muhas Degree yake inacompetition sana Mwisho One ya 5 kwa PCM
malembeka18 said: Habar wakuu naomba mnijuze biomedical engineering nicourse inayohusika na nin na inapatikana chuo gani Click to expand... Vifaa tiba ,ipo Muhas Degree yake inacompetition sana Mwisho One ya 5 kwa PCM