Biomedical engineering inahusika na nin hasa

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,719
Reaction score
4,302
Habar wakuu naomba mnijuze biomedical engineering nicourse inayohusika na nin na inapatikana chuo gani
 
Ufundi/uhunzi wa vifaa vya tiba
 
Habar wakuu naomba mnijuze biomedical engineering nicourse inayohusika na nin na inapatikana chuo gani
Inapatikana Muhimbili pekee kwa Ngazi ya Degree

Lakini utasoma vyuo viwili kwa wakati mmoja

Mwaka wa kwanza Semister I (Muhas)
Semister ya Pili (MUST)

Then mpaka mwaka wa tatu ndipo utarudi tena Muhas kumaliza watatu na wanne
 
Habar wakuu naomba mnijuze biomedical engineering nicourse inayohusika na nin na inapatikana chuo gani
Vifaa tiba ,ipo Muhas Degree yake inacompetition sana Mwisho One ya 5 kwa PCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…