T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,733
- 35,285
Madonna hajafa yupo haiMastaa wengine wanaowakataa ndugu zao ni Marah Carey ambaye ana utajiri wa usd million 500 hataki kumsaidia na kukutana na dada yake pekee. Mariah Carey ana donate nakuchangia mamillion ya pesa kwenye charities za kutunza mbwa.
Pia Madonna hadi kifo kilipomchukua kaka yake hajawahi kumsaidia nakumuacha alale nje homeless licha ya utajiri wa madonna sasa hivi kuelekea dolls billion 1.
Aisee ulimwengu umenitupa mbali, madona kumbe alishafariki mm Sina hilu wala lile.
Soma tena mkuu,anamaanisha kifo cha Kaka yake Madonna na sio Madonna mwenyewe.Madonna hajafa yupo hai
ngozi nyeusi hata iwe mahali gani kwenye hii dunia huwaga ni ya kifoo sana,wazungu wamalizane na didy waje kumfilisi na huyu mzee wa straight outta comptonMzuka wanajamvi.
Binti mkubwa wa Dr Dre Latanya Young 40 ni homeless analala nje kwenye Gari la kukodi ambalo pia analitumia kwa shughuli za food delivery.
View attachment 2903263
Dr Dre jina halisi Andre Romelle Young 59 rapper maarufu kutoka Marekani ambaye ana utajiri wa dollars za kimarekani billion moja hajawahi kuonana na kukutana uso kwa uso na binti yake huyo kwa muda wa miaka 20. Binti yake anasema hata namba yake ya simu haijui.
Single mother huyo mwenye watoto wanne Tatiyana 18, Rhiana 15, D'Andre 10 (jina la babu yake) na Jason 5 ni binti ya ex wa Dre Lisa Johnson ambaye aliachana na Dre Latanya akiwa na miaka mitano.
Tatiana anasema kwa kulia huwezi amini Dr Dre ni baba yangu na billionaire lakini naishi maisha magumu na ya kuunga unga na kulala nje.
Anasema anafanya kazi kwenye warehouse nakulipwa USD 15 kwa saa na pia kazi za food delivery uber eats na doordash.
LaTayna, mom of Tatiyana, 16, Rhiana, 13, D'Andre, eight, who is named after his grandfather, and Jason III, three, said: 'I've been working in a warehouse and doing Uber Eats and DoorDash.
Watoto wake wanaishi na marafiki haishi na yeye kwenye Gari.
'I'm taking odd jobs just to make it now - I got paid $15 an hour as an assembler at the warehouse.
'I'm trying to keep my head above water. I've been in debt for a while.'
Dr Dre hataki kabisa kuongea wala kumsikia binti yake huyo mkubwa eti kwasababu alimuongelea vibaya kwenye vyombo vya habari. Hata wajukuu zake hao wanne wameshangaa kwanini Babu yao hatakataa na hawajawahi kuonana naye.
Dr Dre alimlipa fidia Talaka mke wake mwengine 100 m usd Nicole young. Pia Dr Dre alitoa dollars million 7 cash ili atumbuize kwenye superbowl 2022.
Licha ya binti yake kuishi nje Dr dre anachangia sana mamilion ya dollars kwenye charities na mifuko mengine.
Analipwa dola 15 kwa saa na ni raia wa huko huko. Kwani wabeba box wa kutoka bongo na ambao siyo raia ulipwa kiasi gani kwa saa?MBONA HYO KIASI ANACHOLIPWA NI KUBWA TU AMESHNDWA KUPANGA CHUMBA NZURI
Wewe uko kama mimi..yaani tukizinguana usijaribu kuongeza mtu wa tatu..aisee sitokusikiliza kbsKuna vingi nyuma ya pazia ukitaka kupatana na mtu always online au kwenye vyombo vya habari sio sehemu sahihi, mimi ukikosana na mimi nitafute uongee na mimi ukimuingiza mtu wa tatu tu hata kama ni mzazi wangu siwezi kuelewana na wewe hata
Kuna tatizo la kusoma maandishi..Madonna hajafa yupo hai
kwani wewe ni mtoto wa kambo, mbona wengine wameelewa tu ila wewe kimekuuma. pole. na sahamani.Jifunze matumizi sahihi ya neno mtoto wa Kambo. Mtoto wa Kambo ni mtoto unayemlea wewe ila asiye wa kwako, anaweza kuwa wa mkeo ila sio wako.
Na akipiga masaa 6 mfululizo na sawa na dola tisini 90 sawa na na laki 225000MBONA HYO KIASI ANACHOLIPWA NI KUBWA TU AMESHNDWA KUPANGA CHUMBA NZURI
Hapana yule mke wa Kobe kavumilia na kobe alimuoa akiwa 19. Kuna wakati akiwa na mimba ya binti yao wa mwisho aliyekuwa na Kobe, Kobe alikuwa anagonga nje sana hadi nusura ajiue kwa uchungu lakini akamvumilia.Kumbe issue kubwa kwenye ndoa ni kugawana mali tu.., aliona musu haimtoshi, kaamu kuvumilia kasubiri na sasa kapata 100% inayoenda kwa walatino wenzake..
Yale Yale ya Michael Jackson (Rip)Madonna alipokuwa kijana (material girl) alikuwa moto sana, lakini baada ya kufanya plastic surgery amekuwa kama kinyago.
View attachment 2903278
1989
View attachment 2903280
2023
Huyu dada angepita humu angetuliaa vzr sna mnk anaambiwa ukweli mtupuHilo gari anakodi kwa sh.ngapi kwa mwezi mzima?
Hiyo biashara ya food delivery anagawa chakula cha msaada, kwamba hapati pesa?
Hii ni kiki .