Bila shaka tuna viongozi wenye fikra duni sana

Non sense
 
Kwamba Makamu wa Rais alienda nje kikazi bila kujilikana alienda kufanya kazi gani na nchi gani? Au alienda kwenye kazi zake binafsi siyo ya Umma?
 
Siasa za dhuluma zimepelekea wanaodhulumiwa kujifariji kwa kufurahia madhulumati wakipata matatizi hasa magonjwa na hata kifo. Na hali hiyo haiwezi kuondoka Hadi wafanya dhuluma waamue kutenda haki. Serekali ni sehemu ya watenda dhuluma hivyo wanahofia wakitoa hiyo taarifa itafurahiwa na wanaodhulimiwa, na mwitikio kutoka kwa wadhulumiwa huacha mdhulumati na familia zao katika tatizo la kisaikolojia. Wakati mwingine hukuta ni matatizo ya siasa chafu za kimadaraka, hivyo serekali huamua iwe Siri.
 
Tukiambiwa tatizo la nchi zetu kutoendelea ni ukosefu wa utawala bora na siyo bora utawala (good governance), tunakimbilia kusema hayo ni matamshi ya kibeberu! Hawa viongozi wetu wanasahau kuwa ni viongozi wa wananchi na wanawajibika kwa wananchi. Tumwombe Mwenyezi Mungu Atukumbuke kwenye hili suala la utawala bora!
 
Hilo nalo Mwanangu Ummy na timu Yako mwende mkalitizame!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…