Wema aanzisha challenge ya kunyoa viparaView attachment 524452 hilo sio tatizo taizo ni pale wanapoanza kuweka mafumbo. Fumbo kwa wapenda ubuyu huwa linafumbuliwa mapema na kwa urahisiView attachment 524453
Kwa style hii bongo movie wana safari ndefu sana.
imeniuma mwenye kichwa kama helmet
Jambazi anavua viatu
Itatoka mwaka 2020 bado ipo kwenye marekebisho makubwa mno
Hahahahaaaaa.Movie mpya ya wema,kaigiza kama mama wa mtoto,mtoto kaumwa, hana fahamu siku mbili hospital ila mama mtu yupo full makeup hata chozi hamna anaulizia hali ya mtoto
Ukikosoa unaambiwa mbona zari alienda msibana na makeup
Hivi mtu akimpenda Zari lazima amchukie Wema au akimpenda Wema ni lazima amchukie Zari? Punguza chuki kwa Wema looh!!Movie mpya ya wema,kaigiza kama mama wa mtoto,mtoto kaumwa, hana fahamu siku mbili hospital ila mama mtu yupo full makeup hata chozi hamna anaulizia hali ya mtoto
Ukikosoa unaambiwa mbona zari alienda msibana na makeup
Wema anajulia wapi mambo ya watoto wakati hashiki mimba sababu ya kuchoropoa sana mimba- word on the streets.Movie mpya ya wema,kaigiza kama mama wa mtoto,mtoto kaumwa, hana fahamu siku mbili hospital ila mama mtu yupo full makeup hata chozi hamna anaulizia hali ya mtoto
Ukikosoa unaambiwa mbona zari alienda msibana na makeup