Biashara ya pub inauzwa

Fundi mahiri wa Ujenzi

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2012
Posts
5,014
Reaction score
4,360
Habari ya leo wana JF,
Kwa yeyote anaehitaji kufungua biashara ya Bar/Pub basi hili bandiko linamfaa.

Ni Pub ambayo bado inafanya kazi hapa Tabata Segerea. Roughly inahitajika kama 5mil Kama uko interested karibu kwa mazungumzo zaidi kwa namba 0655173113.
 
Kwanini inauzwa? Je, ina Financial records zozote tangu ianzishwe? Na je, unaweza kuweka hata picha kidogo?
 
Ngoja nije hapo nichunguze mazingira ya Bar pamoja na mzunguuko wa wateja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…