Mkuu hili lakulangua anagalia tu isije ikawa kama korosho, ufugaji ukaingiliwa na jeshi unaweza ukaambiwa kwa kila ng'ombe uonyeshe baba yake na mama yake na wajomba kabla ya konyesha zizi ulilowafugia na uthibitishe uraia wa hao ng'ombe, zama hizi hazitabirikiπ