Biashara ya matunda soko la Buguruni

nakwede97

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2021
Posts
2,580
Reaction score
8,146
Habar wapendwa Mimi Nina mtaji wangu wa million 1 nataka kufanya biashara ya matunda soko la buguruni niwe natoa Moshi parachichi na ndizi nije kuuza hapa buguruni naomba mwenye uzoefu au anayefanya ishu hii anipe muongozo


Asanten
 
mali mbichi kwa milion mbona mtaj mdogo sana coz huo ni mtaji wa mfanyabiashara wa matunda ndan ya dar anae nunua mzgo kutoka kwa mfanyabiashara wa arusha au Tanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…