Habar wapendwa Mimi Nina mtaji wangu wa million 1 nataka kufanya biashara ya matunda soko la buguruni niwe natoa Moshi parachichi na ndizi nije kuuza hapa buguruni naomba mwenye uzoefu au anayefanya ishu hii anipe muongozo
mali mbichi kwa milion mbona mtaj mdogo sana coz huo ni mtaji wa mfanyabiashara wa matunda ndan ya dar anae nunua mzgo kutoka kwa mfanyabiashara wa arusha au Tanga