Mm ni kijana nataka nianze kujumua mahindi kwa wakulima na kuweka gengeni kwangu niuze rejareja niko mkoa was mbeya tatizo langu in wapi kwa kuyapata ambapo yatakuwa kwa bei nafuu
Mm ni kijana nataka nianze kujumua mahindi kwa wakulima na kuweka gengeni kwangu niuze rejareja niko mkoa was mbeya tatizo langu in wapi kwa kuyapata ambapo yatakuwa kwa bei nafuu