Changamoto ya kumdai mtu ni balaa... Watu ni wathenge thana unaweza filisika kuendekeza wadeni... Fanya cash hata kama ni taratibuKama una mtaji hii kazi itakufanya uwe milionea;tembelea wote wanaopaua nyumba zao na uwaambie unaweza kuwatengenezea madirisha na milango huku wakilipa kidogokidogo;fanya hivyo uje unishukuru baadaye.