Heshima mbele kwa members woote wa JF, nilipenda kuwapeni tahalifa kuwa kama kuna wategenezaji wa. Chakula cha mifugo na wafugaji napenda kuwatahalifu kuwa tunategeneza pumba za muhogo zaidi ya ton 2 kwa siku zipo fresh na ambazo zimekahuka kama kuna mtegenezaji kama kuna mfugaji au mtgenezaji wa chakula cha mifugo tunawakaribisha kununua toka kwetu waweza ku pm