ni wazo zuri lakini kabla ya hapo ajishughulishe na kuuza asali na nta ili aanze kuzoea mazingira polepole.
Mimi sio mwenyeji wa kule ila kuna ndugu zangu wapo kule wananiambia kule asali inalipa huwa kwa mfano wananunua kwa elfu 40 kwa dumu la lita 20 halafu wanahifadhi ndani kwa miezi kama mitatu halafu wanakuja kuuza kwa elfu 80 au zaidi kutegemea na jinsi soko lilivyo.
Kwa hyo unanunua kwa wingi wa mtaji wako na kunakuwa na mawakala wanazikusanya kwa wingi na kuzipeleka kwa matajiri kama akina MO.
Na Nta pia mtindo ni huo huo watu wanatoboa.
Kwa hiyo kama una hizo milioni ulizonazo chukua kidogo tu kama milioni 4 tu uanze kuifanya hiyo biashara na kuizoea pole pole hela zilizobaki weka benki zitakuja kutumika mbeleni kwa ajili ya kuongezea mtaji polepole.
Sent using
Jamii Forums mobile app