BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
- Thread starter
-
- #21
Ni kweli inalipa but very complicated uifanye for leisure.
Siku hizi vitalu vya uwindaji vinanunuliwa kwa mnada lakini kama unataka kuanza now unaweza kuingia collaboration na mwenye kitalu wewe ukawa unamletea wateja wa kuwinda wanyama. Hiyo itakuwa ina unafuu kwako.
Lakini kumiliki kitalu sio pesa ya maandazi. Kuna hela ya kukinunua, kuna ada ya kulipa kila mwaka kutokana na ubora na sehemu kitalu kilipo kuna cha ada ya dollar 15,000, 30,000 na 60,000 kuendelea.
Mnyama unayemwinda kuna gharama za kumlipia:-
Dollar 8, 500 Nyati
Dollar 4,500 Chui
Dollar 7,500 simba
Dollar 400 swala
Nk nk
Huyo mnyama unaweza kumuuzia mgeni/mteja bei mara 3
Kuna gharama za kulipia siku utakazoweka camp, wafanyakazi nk
Kiufupi hii biashara inalipa sana lakini ni very complicated na inahitaji mtaji mkubwa sana almost 1B na kuendelea kwa kumiliki kitalu.
Kwa wapi labda?
Mbao zinalipa sana..
Shida inakuja kwenye Vibali na usafirishaji mzigo!
Mbao unapata pesa chap chap
Kama mtaji wake,utafika 1B
Au kwenye 600M anaweza kuanza Biashara!
Kama unaomtaji wakutosha njoo uwekeze kwenye madini yadhahabu miezi mi3 kazi zikifanyika kisawasawa tayari utakuwa umepata faida yakutosha ukinielewa njoo inbox soma report yamgodi kwanza ndio unitafuteView attachment 1204372
Fungua kampuni ya mitandao ya simu;hii ndio biashara pekee na halali inayoweza kukupa hiyo faida unayoitaka kwa siku
Copy Business Model Ya Azam Ukwaju ( Azam Ice Lolly ).Hello business personels
Naomba kujua as per heading above, biashara ipi ambayo naweza kuingiza kiasi cha faida zaidi ya milioni 100 hadi 500 kwa mwez, kwa wiki au kwa siku..
Haijalishi mtaji kama ni mkubwa, niambiwe pia kiasi cha huo mtaji, na mtiririko wote kwa ujumla, kama utaona kueleza hapa ni shida, you can come direct to my PM kwa kunipa maelezo zaidi.
Copy Business Model Ya Azam Ukwaju ( Azam Ice Lolly ).
Tengeneza Mtandao Wa Usambazaji Nchi Nzima.
Ukiuza ( Mfano Ukwaju ) Moja Na Ukapata Faida Ya Tsh 100 !
Na Kama Ukiuza Bars Laki 2 Kwa Siku, Tayari Una Tsh 200,000^100 = Tsh 20,000,000 Kama Profit.
Ukiongeza Mauzo Au Faida Unapata Zaidi.
Si Lazima Ufanye Ukwaju, Unaweza Kucheki Bidhaa Nyingine Yoyote !
Good!Copy Business Model Ya Azam Ukwaju ( Azam Ice Lolly ).
Tengeneza Mtandao Wa Usambazaji Nchi Nzima.
Ukiuza ( Mfano Ukwaju ) Moja Na Ukapata Faida Ya Tsh 100 !
Na Kama Ukiuza Bars Laki 2 Kwa Siku, Tayari Una Tsh 200,000^100 = Tsh 20,000,000 Kama Profit.
Ukiongeza Mauzo Au Faida Unapata Zaidi.
Si Lazima Ufanye Ukwaju, Unaweza Kucheki Bidhaa Nyingine Yoyote !
Mada yako iko too general. Mara nyingi faida inaendana na ukubwa wa mtaji aka volumes za utakachouza. Biashara yoyote inayolipa kiwango cha faida inategemea na mtaji una ukubwa gani.mada kama hizi huwezi kukuta "traffic", ila za diamond kampa mimba tanasha...comments 500 na views 67,000.
Unga mkuuHello business personels
Naomba kujua as per heading above, biashara ipi ambayo naweza kuingiza kiasi cha faida zaidi ya milioni 100 hadi 500 kwa mwez, kwa wiki au kwa siku..
Haijalishi mtaji kama ni mkubwa, niambiwe pia kiasi cha huo mtaji, na mtiririko wote kwa ujumla, kama utaona kueleza hapa ni shida, you can come direct to my PM kwa kunipa maelezo zaidi.
Kama Mtaji sio issue nakushauri kanunue Bond za Serikari wanatoa 15.49 p.a kwa miaka 20 na wanatoa gawio mara mbili kwa mwaka,Mfano 20,000,000,000 inakupa 258,166,666.67 kwa mwezi, na hio ni pesa ya Uhakika, haina kukamatwa kodi (haina withholding tax) wala makato yeyoteHello business personels
Naomba kujua as per heading above, biashara ipi ambayo naweza kuingiza kiasi cha faida zaidi ya milioni 100 hadi 500 kwa mwez, kwa wiki au kwa siku..
Haijalishi mtaji kama ni mkubwa, niambiwe pia kiasi cha huo mtaji, na mtiririko wote kwa ujumla, kama utaona kueleza hapa ni shida, you can come direct to my PM kwa kunipa maelezo zaidi.
Mada yako iko too general. Mara nyingi faida inaendana na ukubwa wa mtaji aka volumes za utakachouza. Biashara yoyote inayolipa kiwango cha faida inategemea na mtaji una ukubwa gani.
Fungua kiwanda cha kubangua korosho and pack them kisasa (for export purpose). Maximum capital is 1m USD. Kiwanda sio cha kienyeji hichi, ni cha kisasa ambacho kila kitu kinafanywa na machines, kuanzia kuchoma, kubangua na kupack (unaweza ukatumia gas ya carbon n.k kwenye ku pack).
Korosho by next year and years to come zitakua balanced kibiashara contrary to this year serikali ilivoyumbisha soko.
Korosho katika soko la dunia ipo below margin ya mahitaji. Yani korosho inatumika zaidi kuliko kupatikana kwake (Demand is more than words could say).
Kama Mtaji sio issue nakushauri kanunue Bond za Serikari wanatoa 15.49 p.a kwa miaka 20 na wanatoa gawio mara mbili kwa mwaka,Mfano 20,000,000,000 inakupa 258,166,666.67 kwa mwezi, na hio ni pesa ya Uhakika, haina kukamatwa kodi (haina withholding tax) wala makato yeyote
Hivi hii biashara huwa inakuwaje na nivipi iwe na faida kubwa. Ufafanuzi kidogo Cash Money ForeverYah uwindaji wa wanyama pori inalipa sana ishu ni kuwa na mtaji wa kujitosholeza.
is it necessary 20 billion?
Nadhani kaweka hyo 20b kutokana na tittle ya thread yako....twende kwenye dhahabu (Gold) mkuu..huko utatengeneza pesa ya maana sana....kuna sehemu very potential ...tatizo capital tu mkuu.
Return ya mwaka ndio hio 15.49% so do your calculation to get the targeted profit and amount to invest, Investment kwenye bondi za Muda mfupi (chini ya miaka 2) minimum capital laki tano na Bondi za Muda mrefu Minimum capital ni 1,000,000 and maximum period ni 20yrsis it necessary 20 billion?