BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Ni kweli inalipa but very complicated uifanye for leisure.
Siku hizi vitalu vya uwindaji vinanunuliwa kwa mnada lakini kama unataka kuanza now unaweza kuingia collaboration na mwenye kitalu wewe ukawa unamletea wateja wa kuwinda wanyama. Hiyo itakuwa ina unafuu kwako.
Lakini kumiliki kitalu sio pesa ya maandazi. Kuna hela ya kukinunua, kuna ada ya kulipa kila mwaka kutokana na ubora na sehemu kitalu kilipo kuna cha ada ya dollar 15,000, 30,000 na 60,000 kuendelea.
Mnyama unayemwinda kuna gharama za kumlipia:-
Dollar 8, 500 Nyati
Dollar 4,500 Chui
Dollar 7,500 simba
Dollar 400 swala
Nk nk
Huyo mnyama unaweza kumuuzia mgeni/mteja bei mara 3
Kuna gharama za kulipia siku utakazoweka camp, wafanyakazi nk
Kiufupi hii biashara inalipa sana lakini ni very complicated na inahitaji mtaji mkubwa sana almost 1B na kuendelea kwa kumiliki kitalu.
Kama unaomtaji wakutosha njoo uwekeze kwenye madini yadhahabu miezi mi3 kazi zikifanyika kisawasawa tayari utakuwa umepata faida yakutosha ukinielewa njoo inbox soma report yamgodi kwanza ndio unitafuteView attachment 1204372
Copy Business Model Ya Azam Ukwaju ( Azam Ice Lolly ).
Tengeneza Mtandao Wa Usambazaji Nchi Nzima.
Ukiuza ( Mfano Ukwaju ) Moja Na Ukapata Faida Ya Tsh 100
Na Kama Ukiuza Bars Laki 2 Kwa Siku, Tayari Una Tsh 200,000^100 = Tsh 20,000,000 Kama Profit.
Ukiongeza Mauzo Au Faida Unapata Zaidi.
Si Lazima Ufanye Ukwaju, Unaweza Kucheki Bidhaa Nyingine Yoyote
Madini mkuu, kama una roho ya paka uza sembe mkuu kiasi hicho unaweza kusanya kwa lisaa.
Ngoja tuone
Ubaharia watu wanaingiza si chini ya milion 9 kwa lisaa.Ubaharia
Yah uwindaji wa wanyama pori inalipa sana ishu ni kuwa na mtaji wa kujitosholeza.
Mbao hazilipi.
Sahau
Forex ukiota pips zako za kutosha hapo mbona utapenda mwenyewe, tafuta wataalamu wakuelekeze vyedi
Ni kweli inalipa but very complicated uifanye for leisure.unaweza kunipa ufafanuzi kidogo mr cash money au kama hapa sio karibu PM
Mbao hazilipi.
Yah uwindaji wa wanyama pori inalipa sana ishu ni kuwa na mtaji wa kujitosholeza.
kwanini na nini ni changamoto mkuu
mada kama hizi huwezi kukuta "traffic", ila za diamond kampa mimba tanasha...comments 500 na views 67,000.
Kama unaomtaji wakutosha njoo uwekeze kwenye madini yadhahabu miezi mi3 kazi zikifanyika kisawasawa tayari utakuwa umepata faida yakutosha ukinielewa njoo inbox soma report yamgodi kwanza ndio unitafuteHello business personels
Naomba kujua as per heading above, biashara ipi ambayo naweza kuingiza kiasi cha faida zaidi ya milioni 100 hadi 500 kwa mwez, kwa wiki au kwa siku..
Haijalishi mtaji kama ni mkubwa, niambiwe pia kiasi cha huo mtaji, na mtiririko wote kwa ujumla, kama utaona kueleza hapa ni shida, you can come direct to my PM kwa kunipa maelezo zaidi.