Avumilie tu hakuna kuachana kampenda mwenyewe.
Amwambie tu aache vipigo maisha yaendelee.
Wewe binafsi una mtazamo gani na umemshauri nini kama rafiki yako wa karibu
Atakuwa kaoa mchina mzee huyo. Idadi kubwa ya kizazi kibichi kinachofaa kuliwa na vijana hawajui kung fuu. Hata wanaotoka Henan province kwenyewe hawajifunzi siku hizi.
Mkuu umeshafika kyela na kibajaji?