nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
Sehemu kama bank ilitakiwa kabla ya zoezi la kubadili mfumo wa kompyuta, activities zote zisimamishwe. Kama hilo halikufanyika basi huyo mtaalamu wa ICT amehusika moja kwa moja na wala wasihangaike kutafuta mchawi!
yes Edson. Nashangaa vitu kama vitatu hivi. Kwanza inakuaje wameibia Bukoba na sio makao makuu, si kwamba server inayohusika na hizo transactions iko Dsm? Pili, ni aina gani ya Database jamaa wanatumia. Mimi ni mtaalamu wa Oracle Database, iko very secure unless DBA wao kavujisha au amefanya very weak configurations. Tatu, kwa taasisi za fedha kama hizi walipaswa kua na mtu wa Security aliebobea mambo ya Ethical Hacking kwa ajili ya kuhakikisha usalama wa network nzima. Hao crackers wamepita firewalls mpaka wakafika ktk server na kuhamisha mzigo hvi hvi tu?!
Activity zote zilisimama toka j'mosi mpaka kesho mchana isipokuwa ATM ndio ziko live kwa mujibu wa matangazo walirusha kwenye vyombo vya habari,Mawasiliano ya ATM ni tofauti na mfumo wanaotumia ndani,ni vitu viwili vinavyofanya kazi tofauti.
mkuu uko sahihi kabisa...DBA wao anahusika .....security ya hawa iko poor sana na ndio maana jamaa wameweza kubomoa firewall n kuingia ndani....sijajua mfumo wa hawa NMB server yao iko wapi (makao makuu au kila tawi lina server yake) ...na inaoneka huwa hawafanyi update ya security yao mara kwa mara......
Wanatumia 10g ambayo wana(me) migrate to 11gyes Edson Pili, ni aina gani ya Database jamaa wanatumia. Mimi ni mtaalamu wa Oracle Database, iko very secure unless DBA wao kavujisha au amefanya very weak configurations.
Acha majungu mkuu.mkuu uko sahihi kabisa...DBA wao anahusika .....
Acha majungu mkuu.
Mleta hii Thready nakubaliana na wewe hili tukio limetokea kwakua hata hili tawi la NMB hapa Arusha kwa muda wa kazi saa 7:30 mchana wateja walikua wanahaha wamefungiwa nje na wengine wako ndani wasitoke nahisi huo mfumo umewaadhiri matawi yote nchini! Duh mwisho wa mwaka huu na Christmass is around the coner.
Watu hawajui,NMB kwa kila dakika 1 wanafanya transactions za mil 7! haya mambo ya kusingizia kitengo fulani kinahusika that not fair wakuu.Default kwenye systems zinatokea hasa kwenye taasisi za fedha kubwa kubwa kama NMB.60 Million si chochote kwa tawi la benki. Labda kama kuna internal control problem other than this safety need to addressed before resuming operations
Mkuu la kuvujisha code halipo mkuu.Hujui jamaa wale systems zao wanavyo zi operatekama alivujisha secret code au kulikuwa na poor configuration +poor security atakuwa anahusika ....
Sasa hapo mkuu ni kosa la IT personel?ndio maana mnaambiwa mtunze vizuri card zenu za ATMsasa haya maATM card yao so ndo yatatutia umasikini jamani. maana mie nlisikia mtu akiamua anakaa tu nje ya atm na kama akiweza kupata codes za atd secret number yako, kiulaiiini anaenda kutengeneza card kama hiyo then anakuja kutoa hela kwa akaunti yako. si tutafiliska kwa mtindo huu,mweeeeeeee
Haya haya mtambana kijana wa watu kumtesa bure hajui kitu kama defaults kama hizo zinatokea lakini sio kila wizi unatokea basi abanwe mtu wa IT,not fair wakuuAbanwe IT aliyekuwa akishughulikia suala hilo, hata hivyo uwizi siku hizi umezidi banki ya NMB hasa kwa NMB Mobile.
Habari za hivi punde ni kuwa Baadhi ya wajanja wa Mambo ya ICT katika benki ya NMB Bukoba wameiba sh milioni zaidi ya 60.Kwa sasa benki imwefungwa wakijaribu kuona kama wanawweza kupata fedfha hizo.
Habari iko hivi.
Fedha hizi zimeibwa kupitia kitengo cha mikopo cha hii benki na kwamba Uongozi wa benki ulikuwa ukibadilisha mfumo wa computer kutoka mfumo A kwenda mfumo B ndipo wajanja walipotumia mwanya huo kuamisha fedha hizo kiulaini.
Benk imefungwa,wateja wapo wanasota .
Je kumbe ICT ina madhara makubwa kama haya,wataalam wa ICT jamani tumieni utaalam wenu kwa mambo yenye manufaa?
Haiwezekani. Sijawahi kwenda benki nchi za watu nikaambiwa eti oh samahani benki imefungwa leo tunafunga mtambo mpya! Benki ya biashara isimamishe kazi? Kifupi hakuna utaalam wa IT security Bongo, period. Hakuna utaalam wa anything for that matter.Sehemu kama bank ilitakiwa kabla ya zoezi la kubadili mfumo wa kompyuta, activities zote zisimamishwe. Kama hilo halikufanyika basi huyo mtaalamu