Mi nauza ya kwangu nimeinunua kwa malkia sijaitembelea sana hapa TZ kutokana na ulaji wa mafuta uliokithiri(twin turbo charge double carbulator)cc 4800ya mwaka 2006,black in colour kama upo interest nipm maana kwa sasa hivi hadi unaingiza nchin si chini ya 86m na hapo umechakachua sana kodi