Bei ya kiwanja na ukubwa wake

Bei ya kiwanja na ukubwa wake

somvi

Member
Joined
Aug 14, 2015
Posts
17
Reaction score
4
Habar, mkurugenz wa wilaya ya Nanyumbu ametangaza kuuza viwanja kwa ajili ya makazi, biashara na huduma za kijamii.
Naomba kuuliza nahitajai mita ngapi za mraba kwa ajili ya nyumba ya vyumba vitano na mabanda?
 
Habar, mkurugenz wa wilaya ya Nanyumbu ametangaza kuuza viwanja kwa ajili ya makazi, biashara na huduma za kijamii.
Naomba kuuliza nahitajai mita ngapi za mraba kwa ajili ya nyumba ya vyumba vitano na mabanda?

At least 30 by 25
 
Back
Top Bottom