Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 23,967
- 42,206
Aman kwenu wakuu
Kuna hizi kampun mbili kutoka huku kandaziwa batco na ftester hawa jamaa wameshindikana aisee
Huyu batco ana bus kama Mbuz yaan ni utitiri aisee, ukisimama pale nyakato utakuwa unaona bus zake zinapita kila baada ya dakika kumi Huyu jamaa kampoteza kabisa Zakaria
Zakaria kwa sasa kafuria kabisa hana bus dah yaan had huruma toka jamaa wamfunge kafulia
Kuna Huyu frester jamaa ana bus kama mchanga kwanza Mimi nilikuwaga najua hata ni mchina au mhindi kumbe ni msukuma tu Wa huko geita duh kama ni ndagu hawa ndo Masonic sasa
Ila hongeren japo mnatisha
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna hizi kampun mbili kutoka huku kandaziwa batco na ftester hawa jamaa wameshindikana aisee
Huyu batco ana bus kama Mbuz yaan ni utitiri aisee, ukisimama pale nyakato utakuwa unaona bus zake zinapita kila baada ya dakika kumi Huyu jamaa kampoteza kabisa Zakaria
Zakaria kwa sasa kafuria kabisa hana bus dah yaan had huruma toka jamaa wamfunge kafulia
Kuna Huyu frester jamaa ana bus kama mchanga kwanza Mimi nilikuwaga najua hata ni mchina au mhindi kumbe ni msukuma tu Wa huko geita duh kama ni ndagu hawa ndo Masonic sasa
Ila hongeren japo mnatisha
LONDON BOY
Sent using Jamii Forums mobile app