Ni kweli kabisa. Hilo nalo litaandikwa na litakumbukwa, kama kweli una mapenzi ya dhati na watanzania hawa wa sasa na wajao waambie hawa wanaokuona sasa kwa nini ulilia kwa ajili yao kwa kura ya Wazi, Mungu tayari anaijua nafsi yako hahitaji maelezo, waambie tu Watanzania wanaokuona hivi sasa.