Barua niliyopewa na TSD


katafuteni kwingine
 
Tsd wanachofanya ni kubadili muundo wa utumishi mfano kutoka afisa msaidizi kuwa afisa kamili
suala la Mshahara ni la mwajiri mwenyewe hivyo walichokuambia ni sahihi.
 
Poa 2naweka mambo sawa. Ila kada ya Elimu tuna nyanyaswa xna. Ingekuwa hakimu au mjeshi fasta wana mpa haki yake.
 
Poa 2naweka mambo sawa. Ila kada ya Elimu tuna nyanyaswa xna. Ingekuwa hakimu au mjeshi fasta wana mpa haki yake.

kama ndio ualimu huu wa muandiko huu tumekwisha.....
ualimu ni wito jaribu kujitambua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…