Habari wandugu..
Jamani naomba msaada wenu wanajamvi.
Nimeitwa kwenye interview Bank of Baroda post ya "Credit and Operations" na nina degree ya Statistics na sina hata idea ya kitu cha banking na nimeunganishiwa tu hiyo kazi bila kujua. Naombeni msaada wenu kujua possible questions related to the post and a bank apart from the general questions.
Habari wandugu..
Jamani naomba msaada wenu wanajamvi.
Nimeitwa kwenye interview Bank of Baroda post ya "Credit and Operations" na nina degree ya Statistics na sina hata idea ya kitu cha banking na nimeunganishiwa tu hiyo kazi bila kujua. Naombeni msaada wenu kujua possible questions related to the post and a bank apart from the general questions.
Habari wandugu..
Jamani naomba msaada wenu wanajamvi.
Nimeitwa kwenye interview Bank of Baroda post ya "Credit and Operations" na nina degree ya Statistics na sina hata idea ya kitu cha banking na nimeunganishiwa tu hiyo kazi bila kujua. Naombeni msaada wenu kujua possible questions related to the post and a bank apart from the general questions.
mboona mim cjaitwa?
daah! Jamani! Kujuana huku kutatumaliza tusiokuwa na wa kutushika!
Kazini kwetu HRM ni registered engineer!
Its not about position but i have doubts.
Kazini kwetu HRM ni registered engineer!