Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani ahudhuria hafla ya kumuapisha Rais Magufuli Dodoma, asema ni ishara kuwa uhusiano wa muda mrefu kati ya nchi mbili hautetereki

Crimea

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
24,917
33,493
Walifikiri hataenda kwenye sherehe za kumuapisha JPM.
Sasa nashauri waanze kujipanga kwa 2025

===
"Bado nasumbuka sana na mwenendo wa uchaguzi uliofanyika Octoba 28 na ukiukaji wa haki za binadamu unaoendelea lakini nimehudhuria hafla ya leo Dodoma kutoa ishara kwamba uhusiano wa muda mrefu wa Marekani na Tanzania na watu wake hautetereki"

I remain deeply troubled by the conduct of the Oct. 28 elections, and by ongoing infringements on human rights, but I attended today's inauguration in Dodoma to signal that America's longstanding partnership with Tanzania and her people is unshakeable.

 
Kaangalie na comments kwa Hussein Bashe baada ya ku-tweet: "mitano tena kwa Magufuli".
 
Ofcourse anaewaamini CHADEMA and the likes must have undergone mental erosion. Their claims are vested on half truths and lies. I wonder how they have managed to drag the US into their dirty games
 
Hahahaaa... Majizi bwana. Eti leo mnawapenda mabeberu? Mtategemea polisi na jeshi mpaka mwisho. Siyo wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…