Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
We unafanya nini humu mtandaoni ?Hivi wewe huna lingine la kufanya zaidi ya kulia lia mtandaoni usiku na mchana?
We unafanya nini humu mtandaoni ?Hivi wewe huna lingine la kufanya zaidi ya kulia lia mtandaoni usiku na mchana?
Na wewe unafanya nini humu mtandaoni?We unafanya nini humu mtandaoni ?
Kwa haya yaliyoyokea Katika uchunguzi huu,vyama vya siasa vya upinzani visiingie kwenye uchunguzi mpaka ipatikane tume huru ya uchunguziLabda tujipange kudai Tume Huru lakini sio kushiriki chaguzi tena chini ya hii tume.
Bado hauelewi tu? Serikali ya USA haiwezi kuhudhuria kuapishwa kwa Raisi isiyemtambua, ipi ngumu kwako kuelewa? Kitendo cha USA kuhudhuria maana yake Uongozi ulioapishwa una baraka zote za USA, sasa hayo mengine yanajadilika ndiyo maana yake, mnaweza mkajadili kuhusu demokrasia na mengineyo lkn Raisi wa JMTZ kwa sasa anatambulika kama Pombe Magufuli (PhD), ...
Tatizo la shuleItoshe Tu kusema kuwa mleta mada hajaelewa alichoongea balozi wa USA... namshauri atafute mkalimani amsomee hiyo tweet
Hicho ndio kilifanya nisimpe kura Lissu sasa aende the Hague alipokuwa anatishiaCDM bwana mafisadi wakiwa kwao wanawabadilisha jina, anakuwa mbeba-maono (Mr PM Mstaafu), hiki chama kina watu wanaobadilika-badilika sana kuliko kasi ya mmeto wa indiketa. Nani atawaamini basi???
Kila mara huwa najiuliza upinzani hasahasa seif ana akili kweli kila mwaka unashindwa hutangazwi na msimu mwingine unadai utashinda na utatangazwa. Kwa katiba na tume ipi?Labda tujipange kudai Tume Huru lakini sio kushiriki chaguzi tena chini ya hii tume.
Wasiokuwa na hoja zenye ukweli hupenda kuchandanya kiswahili na kiingereza ili waonekane ni wasomi wabobezi, wewe ni mmoja wapo.Ofcourse anaewaamini CHADEMA and the likes must have undergone mental erosion. Their claims are vested on half truths and lies. I wonder how they have managed to drag the US into their dirty games
Kaangalie na comments kwa Hussein Bashe baada ya ku-tweet: "mitano tena kwa Magufuli".
Umeongea vizuri mkuu.Labda tujipange kudai Tume Huru lakini sio kushiriki chaguzi tena chini ya hii tume.
Tunaipokea hii mitano ya pili kwa kheri na baraka, Mabadiliko yatakayofanywa na magufuli mtashangaaKaangalie na comments kwa Hussein Bashe baada ya ku-tweet: "mitano tena kwa Magufuli".
kwani nyie mitandaoni si ndipo kwenye kura zenu huko?Kaangalie na comments kwa Hussein Bashe baada ya ku-tweet: "mitano tena kwa Magufuli".