Uchaguzi 2020 Balozi wa Marekani ahudhuria hafla ya kumuapisha Rais Magufuli Dodoma, asema ni ishara kuwa uhusiano wa muda mrefu kati ya nchi mbili hautetereki

Crimea

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
24,756
33,101
Walifikiri hataenda kwenye sherehe za kumuapisha JPM.
Sasa nashauri waanze kujipanga kwa 2025

===
"Bado nasumbuka sana na mwenendo wa uchaguzi uliofanyika Octoba 28 na ukiukaji wa haki za binadamu unaoendelea lakini nimehudhuria hafla ya leo Dodoma kutoa ishara kwamba uhusiano wa muda mrefu wa Marekani na Tanzania na watu wake hautetereki"

I remain deeply troubled by the conduct of the Oct. 28 elections, and by ongoing infringements on human rights, but I attended today's inauguration in Dodoma to signal that America's longstanding partnership with Tanzania and her people is unshakeable.

Screen Shot 2020-11-06 at 13.31.06.png
 
Kaangalie na comments kwa Hussein Bashe baada ya ku-tweet: "mitano tena kwa Magufuli".
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom