Cards Fantasy
Senior Member
- Nov 3, 2016
- 192
- 111
Habari za leo wanajukwaa, nauza bajaj yangu aina ya TVS King ikiwa kwenye ubora wa hali ya juu. nimemnyang'anya dereva jumapili iliyopita maana sound zimekuwa nyingi na haleti hela. nimeipaki tu kwa ndugu yangu.
Ina viibali vyote , apart from bima imeisha tarehe 29/07. inshort imekamilika. haijawahi kufunguliwa engine wala kurudiwa rangi. Hapa nna picha chache, nyingine ntazipiga baadae au ukihitaji whats app ntakutumia.
Bei ni Tsh 3,500,000/- kama upo serious kwa bei hii ni ya kuikimbilia hii bajaj.
Mawasiliano yangu mimi Mmiliki :- 0752 981 380 (Whatsapp)
Ndugu yangu coz mm nakuwa busy na kazi :- 0659 960 634
Bajaj Ipo Tandika Magorofani. Karibuni Sana.
NB. Nimebadilisha tyres wiki 3 zilizopita, so ina matairi yote mapya. Inshort ipo vzr kila idara, Baadae ntaongeza pics now nna hizi chache coz nipo ofisini.
Upadates za picha.
Ina viibali vyote , apart from bima imeisha tarehe 29/07. inshort imekamilika. haijawahi kufunguliwa engine wala kurudiwa rangi. Hapa nna picha chache, nyingine ntazipiga baadae au ukihitaji whats app ntakutumia.
Bei ni Tsh 3,500,000/- kama upo serious kwa bei hii ni ya kuikimbilia hii bajaj.
Mawasiliano yangu mimi Mmiliki :- 0752 981 380 (Whatsapp)
Ndugu yangu coz mm nakuwa busy na kazi :- 0659 960 634
Bajaj Ipo Tandika Magorofani. Karibuni Sana.
NB. Nimebadilisha tyres wiki 3 zilizopita, so ina matairi yote mapya. Inshort ipo vzr kila idara, Baadae ntaongeza pics now nna hizi chache coz nipo ofisini.
Upadates za picha.