freelancer2302 Member Joined May 29, 2014 Posts 83 Reaction score 23 Sep 9, 2016 #1 Baiskeli hii inatumika na watoto kuanzia umri wa mwaka hadi miaka minne. Wakati wakiwa wadogo wanaendeshwa na mtu mzima ila baada wanaendesha wenyewe. Bei ni 60000. Imetumika ila ipo kwenye hali nzuri. Tuwasiliane 0625833222
Baiskeli hii inatumika na watoto kuanzia umri wa mwaka hadi miaka minne. Wakati wakiwa wadogo wanaendeshwa na mtu mzima ila baada wanaendesha wenyewe. Bei ni 60000. Imetumika ila ipo kwenye hali nzuri. Tuwasiliane 0625833222
pettymarcel JF-Expert Member Joined Jun 17, 2012 Posts 2,161 Reaction score 883 Sep 9, 2016 #3 Uko wapi mkuu nichek Whatsap kwa 0763772636