Afadhali yako wee upo kwenye payrol unadai kuongezewa mshahara, kuna wengine hata hiyo ajira hawana.
Ila mna haki kama sheria inaruhusu kuongezewa, ni haki yenu.
Ninachojiuliza wastaafu waliokuwa waongezewe kamshara angalau kwenye maisha yao ya uzeeni waishi vizuri kidogo kutokana na penshen itakuwaje? I hope hili kundi mojawapo linalosikitika sana, maana wanaweza kukosa haki yao ya maingi baada ya kumaliza muda wao wa kutumikia serikali.