Kwani mkuu kama katembea nao inaleta shida gani????????????? Lets assume alisoma shule za mchanganyiko katika mazingira tofauti alitembea na wanafunzi wengi sana tangu kwenda kanisani, darasani, uwanjani na pengine hata kazini.Asilimia yote 85 ya wanaume umeshatembea nao!? Kazi kweli kweli
Kwani mkuu kama katembea nao inaleta shida gani????????????? Lets assume alisoma shule za mchanganyiko katika mazingira tofauti alitembea na wanafunzi wengi sana tangu kwenda kanisani, darasani, uwanjani na pengine hata kazini.
Jaman naitaji maoni yenu juu ya ttz ili kwa vijana wa kiume. Cjajua bd ila utakuta kijana yuko na girl ahadi nyingi na maneno matam ya kimapenzi maby mme wa MTU au yuko single lkn cku ukimwambia najiisi mimba ndo cko ulompa kadi nyekundu cwasemi wote icpokuwa 85% wapo ivyo ivi km yy angekataliwa angejickiaje na je nn ttz juu ya ili? Ukipenda boga penda na UA lake maoni
jaribu kutembea na wanaume achana na wavulana... halafu si kila mahusiano yanahitaji mtoto au ndoa ... have funny carefully usije pata mimba kizembe ukitegemea awe tayari kulea ,... kila mwanaume unayekuwa naye jaribu kujua malengo yake juu yako .. na matokea ya hiyo ngono kama ataweza kubaliana nayo.. kama hayupo tayari kuwa na mtoto kuwa makini siku ambazo upo kwenye hatari usijeweke tu kama huwezi kujikinga tumia vidonge huwezi tumia condom huwezi baada ya tendo kunywa dawa huwezi hayo basi kuwa single mama...
si kila relationship inahitaji goli (mtoto).. nyingine chenga nyingi na faulo kibao ndiyo wanapenda ....
Jaman naitaji maoni yenu juu ya ttz ili kwa vijana wa kiume. Cjajua bd ila utakuta kijana yuko na girl ahadi nyingi na maneno matam ya kimapenzi maby mme wa MTU au yuko single lkn cku ukimwambia najiisi mimba ndo cko ulompa kadi nyekundu cwasemi wote icpokuwa 85% wapo ivyo ivi km yy angekataliwa angejickiaje na je nn ttz juu ya ili? Ukipenda boga penda na UA lake maoni
nyingi ni starehe tuUmesema vema miss chaga sio kila relationship inahitaji motto
bado mgeni jf ..Nimesoma na kuishia katikati uandishi mbovu
Maoni yenu ni mazur icpokuwa wengi wenu ndo walewale watoaji au wakataaji au mlokataliwa najua mtabisha na kutoa kauli mbovu ila moyoni mwenu ukweli mnao na siri yenu binafsi aijawai tokea kitu km icho icpokuwa ni ujumbe kwa wengine waelewe na wawe makini c vingine
ha ha hahahahaMaoni yenu ni mazur icpokuwa wengi wenu ndo walewale watoaji au wakataaji au mlokataliwa najua mtabisha na kutoa kauli mbovu ila moyoni mwenu ukweli mnao na siri yenu binafsi aijawai tokea kitu km icho icpokuwa ni ujumbe kwa wengine waelewe na wawe makini c vingine
Umesema vema miss chaga sio kila relationship inahitaji motto