Nawakumbusha tu vijana wa form six mnaoomba nafasi msisahau kuomba na hii programme wengi wanaidharau lakini kadri miaka inavyoenda na ndo inazidi kutambulika na watu kuona umuhimu wake.....karibuni sana kwenye uwanja wa wakemia....mwenye swali uliza
Nawakumbusha tu vijana wa form six mnaoomba nafasi msisahau kuomba na hii programme wengi wanaidharau lakini kadri miaka inavyoenda na ndo inazidi kutambulika na watu kuona umuhimu wake.....karibuni sana kwenye uwanja wa wakemia....mwenye swali uliza
Ila connection muhimu, mfano mzuri mwezi huu EWURA wametangaza nafasi za ajira na katika post zilizotolewa na watu wa holder ya Bsc chemistry wapo....na post zilizotolewa zilikuwa zinahusiana na INSPECTION/ UKAGUZI so sio lazima mkemia akae maabara, unaweza kuwa inspector officer as long as unaknowledge ya quality control and assurance lakini pia na hiyo field ambayo unaenda kufanyia ukaguzi...
Nawakumbusha tu vijana wa form six mnaoomba nafasi msisahau kuomba na hii programme wengi wanaidharau lakini kadri miaka inavyoenda na ndo inazidi kutambulika na watu kuona umuhimu wake.....karibuni sana kwenye uwanja wa wakemia....mwenye swali uliza
Naomba kuuliza mkuu,ipi combination nzuri kama umepata BSc general UDSM ??
Wengi wanasema Ukichanganya Chemistry and Microbiology ndo inakuwa poa,je ni kweli mkuu? Au combination ipi iko poa kwa upande wa ajira soon ukimaliza BSc general?
Naomba kuuliza mkuu,ipi combination nzuri kama umepata BSc general UDSM ??
Wengi wanasema Ukichanganya Chemistry and Microbiology ndo inakuwa poa,je ni kweli mkuu? Au combination ipi iko poa kwa upande wa ajira soon ukimaliza BSc general?
Naomba kuuliza mkuu,ipi combination nzuri kama umepata BSc general UDSM ??
Wengi wanasema Ukichanganya Chemistry and Microbiology ndo inakuwa poa,je ni kweli mkuu? Au combination ipi iko poa kwa upande wa ajira soon ukimaliza BSc general?