Baba amuingilia bintiye kinyume cha maumbile

Status
Not open for further replies.

kbm

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
5,224
Reaction score
1,685

Chanzo: Nipashe
 
Hivi wale waliochapwa bakora wakati wa mfungo ni wabaya zaidi ya hawa wabakaji?
 
Vyombo vya sheria visifumbie macho mambo Kama haya, wananchi tunataka kuona adhabu kali kwa watu Kama Hawa ili iwe fundisho kwa wengine.
 
Mbona hawajasema...huyo aliyeahidi mbuzi alitoa?au liligoma baada ya kupewa
 
Watu wanasoma habari mbaya kuhusiana na kufanyiwa udhalilishaji Watoto wasio na hatia. Badala ya kukemea wanatafuta habari za kuunga unga zinazohusu Imani nyingile lengo likiwa kupoteza mjadala. Tunaelekea wapi? Je huku sio kulea uovu?
 
Waliofanya kitendo hicho ni waswahili na kama asipotubu siku ya kiyama atafufuliwa kwenye kaumu lut(sodoma na gomora) hatapata nafasi ya kumuona mtume muhammad saw na kama zanzibar ingekuwa nchi ya kiislamu na ingethibitka kuwa kuna kitu km hicho kimefanyika na mashahidi wangepatikana huyo baba alistahiki kifo cha mawe
Mimi km muislam nasikitishwa na kitendo hicho km kweli kimefanyika ni kinyume na majina yake mazuri na kinyume na mwenendo wa kiislam
 
Watu wanasoma habari mbaya kuhusiana na kufanyiwa udhalilishaji Watoto wasio na hatia. Badala ya kukemea wanatafuta habari za kuunga unga zinazohusu Imani nyingile lengo likiwa kupoteza mjadala. Tunaelekea wapi? Je huku sio kulea uovu?

We mnafiki umeshindwa kuwaona hao wenzio waliowanasibisha hao waswahili wakiznz na uislam
 
Haya matendo ni mabaya sana bila kiangalia aliyefanya ni wa imani gani
Tuyakemee na kuwaadhibu wanaofanya hayo na sio kutafuta mifano ya watu wa imani nyingine waliowahi kufanya kama hayo...kwa hivyo hatujengi bali kushabikia uovu kwa kulinganisha nani nani amefanya uovu zaidi
Uovu ni uovu tu hata ungefanywa na nani!.
 
Watu kama hao inapaswa kupewa adhabu ya kunyogwa mpaka wafe ili wengine wajifunze
 
Koote kwingine mnaiga tu, ila visiwani Zanzibar ndo chimbuko za mafiraji
 
Watu wanasoma habari mbaya kuhusiana na kufanyiwa udhalilishaji Watoto wasio na hatia. Badala ya kukemea wanatafuta habari za kuunga unga zinazohusu Imani nyingile lengo likiwa kupoteza mjadala. Tunaelekea wapi? Je huku sio kulea uovu?




Mkuu hata mimi nashangaa. Baada ya kukemea wao wanaleta masihara.
 
Waswahili wanasema mti wenye matunda mengi hauishi kupigwa mawe.

Na mimi Mods manati zao wameelekeza South Centra kwa kahtaan.

Hapa mpaka JF ifungwe.
Hakimbii mtu.

Tetesi zinasema huyo mvulana ni khataan ila walikosea kwenye kuandika umri. Angalieni namna ya kumsaidia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…