moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,080
- 2,884
- Thread starter
- #21
Jana yetu ndio hujenga Leo imara sasa kwa mfumo huu unaondelea Africa haipo tena ,tutashindwa kubet kwasababu mim na wewe hatutokuwepoNakuambiaje hiyo ni ndoto ya mchana
Jana yetu ndio hujenga Leo imara sasa kwa mfumo huu unaondelea Africa haipo tena ,tutashindwa kubet kwasababu mim na wewe hatutokuwepoNakuambiaje hiyo ni ndoto ya mchana
Ziko wazi sana mkuu nashangaa ambao wanakataa wakati mipango inafanyika na vitendo pia vinafanyikaKwanza mjue watu weupe hatatutaki sisi wati watu weusi na kila kukicha wanapanga mipango ni jinsi gani watqtuondoa kweny uso wa dunia hii wabaki wao kama wao tu...we si inamskika mtu kama Trump na agenda zake juu yetu