Baada ya Israel kuzima mtandao Gaza Star link kuwasha internet Gaza!

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,120
Reaction score
24,395
Hii inaitwa kama mbwai na iwe mbwai

Baada ya Israel kuzima internet Gaza sasa bilionea Elon baada ya maombi ya watu zaidi ya milioni 250 kuomba Star Link iwashe Gaza finally wamekubali na hii imewakera sana Wahalifu wa mjini Telaviv

"Starlink will support connectivity to internationally recognized aid organizations in Gaza." Ameandika Elon kwenye ukurasa wake wa twitter.
====

Pia soma:
Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania
 
Kwanza umeme wanao?
 
Hivi bado inaitwa Twitter na sio X
 
Kiukweli kabisa siungi mkono kinachoendelea kwa raia wa Gaza ,pia nikiangalia wanawake na watoto wa Gaza walivyokua wakisherekea kuchinjwa na kutembezwa uchi kwa raia kama wao wasio na hatia nashawishika kusema Wacha karma ishike mkondo wake
 
Ni jambo jema..,nawashangaa wanaofurahia mateso na hadha kwa binadamu wenzao!
Wewe hao unaowaonea huruma wanakuthamini???niambie sisi ngozi nyeusi nani anatujali ktk hao waarabu na wazungu wanaogombana!!!

Hao wote ni wendawazimu mmoja kichaa kimempanda kamchokoza mwenzake mwenzake nae asijue ni chizi katoka mtoni uchi kumkimbiza mwisho yanakuwa hayo yanayotokea,Africa tuna vita ngapi active zinaendelea wanakufa weusi wenzetu mbona hatujawahi kuwasikia hao unaowatetea humu wakitoa neno la huruma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…