Azawad - A new African state proclaimed!

Ni muendelezo wa mikakati iliyokuwepo tokea awali, baada ya Sudan ya kusini ilikuwa wimbi la kugawanywa liilekee Misri (lilisimamishwa na mapinduzi ya kumngoa Mubaraka) sambamba na Mali,Niger (sina uhakika kuhusu Mauritania ilikuwa ingiliwe vipi).
Kutoka Euphrates una Iraq iliyogawanyika, kuanzia Nile una Sudan (Misri) zinazogawanyika, changanya na zako unapata jibu Mkuu!
 

lingekuwa ni taifa la kikristo linataka kuundwa lingeungwa mkono na nchi za magharibi US,ULaya na waafrica kama ilivyokua south sudan ikisaidiwa ila kwa kuwa ni la waislam basi halitakubaliwa na kupigwa vita kama vile somalia inavyopingwa kundi la waislam kuongoza nchi!!
 

So ist African bone cancer of tribalism which is eating Malians?
 

Tuareg are Selfish Men.They Apartheidst
!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…