"E="SPINE, post: 32948708, member: 467874"]
Bado hawajui wanatakiwa kufanya nn...kama unaona app inakuingizia hasara, weka utaratibu wa kuilipia ili anaehitaji atalipa apate huduma na sio kuvizia mechi inaanza unachomoa channel.
[/QUOTE]"
kumbe ndio huwa wanafanya hivyo huyo jamaa si anachukua sana mihela yetu anakwama wapi kturudishia kwa huku