Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,787
- 140,892
Labda ungeweka na model za magari zinazokuja na hizo technology.
Cadillac, Acura, Land Rover, Range Rover, Chevys, etc.
Huku tunatumia ist/vitz/altezza/gx 100/nissan note/March/carina/corolla/mazda demio etc so hio adha hatuijui.
Ngoja wenye uzoefu waje
Cadillac, Acura, Land Rover, Range Rover, Chevys, etc.
Siipendi kweli. Kuna siku nili i turn on inadvertently, kwenye foleni ikawa kama gari linashtuka.Baadhi ya magari siku hizi, hususan yenye automatic transmission, yana hii teknolojia inayoitwa automatic start/stop technology.
Kwa ufupi iko hivi;
Gari inakuwa na smart key. Hii smart key ndo unayoweza kuitumia kufungulia milango ya gari, trunk, na kadhalika.
Unaweza ukabonyeza vitufe vilivyopo kwenye smart key au unaweza tu kuiweka mfukoni na ukiwa karibu na gari, unaweza kufungua milango kwa kubonyeza vitufe vilivyopo kwenye handles.
Ndani gari linakuwa halina sehemu ya kuingiza ufunguo.
Badala yake kunakuwepo kitufe ambacho unakibofya na gari inawaka.
Sasa ukiwa unaendesha halafu ukafika sehemu ukasimamisha gari, mfano kwenye taa, injini inajizima kiaina.
Ukitoa mguu kwenye breki, injini inajiwasha tena.
Hii pia hutokea ukiwa kwenye foleni kubwa. Foleni ikiwa inaenda taratibu sana, kuna muda unalazimika kufunga breki na kusimama kwa sekunde kadhaa kabla hujasogea tena.
Lengo la hii teknolojia ni kupunguza matumizi ya mafuta na kupungiza emissions.
Sina uhakika sana na ufanisi wake. Ila ninachoweza kusema ni kwamba, ukiwa kwenye eneo/ sehemu ambayo ina tatizo la msongamano mkubwa wa magari barabarani, inakera sana gari kujizima na kujiwasha yenyewe kila mara.
Nani mwingine ana tajiriba na hii teknolojia? Vipi mtazamo wako? Yay or nay?
Siipendi kweli. Kuna siku nili i turn on inadvertently, kwenye foleni ikawa kama gari linashtuka.
For some reason ile on and off inaniondoa mood ya kuendesha.
Just turn it off, au ni shughuli fulani hivi?Duh!
Sentiments zako ni kama zangu.
I don’t like it at all.
Imagine in a stop and go situation during rush hour, sijui hata ni mara ngapi engine inajizima na kujiwasha
Annoying AF!
Just turn it off, au ni shughuli fulani hivi?
Yangu its a breeze. Usipoangalia unaweza kui turn on bila kutaka na kui turn off ni rahisi hivyo hivyo. Kuna ki button next to the start button. That's all.I tried to tinker with it one day and I messed up some of the OBD codes.
Had to take it back to the dealership and they fixed it and showed me the proper way to do it.
Haya magari ya siku hizi ni headache tupu!
Hata ku replace smart key fob is a pricey proposition.
Nilivyoisoma ni kuwa gari inajizima:
1. Ikiwa engine ishawarm up to operating temperature
2. At a specific point in the combustion cycle
Nia na madhumuni ni gari iwake haraka sana upon restaring, yani jino moja tu.
Is that not your experience?
Mkuu hizi gari kwa hapa Tanzania majanga majority ya raia huku hatuendeshi magari tunakanyaga tu accelerator za vyombo vya usafiri kutoka kampuni ya ToyotaCadillac, Acura, Land Rover, Range Rover, Chevys, etc.
Mkuu hizi gari kwa hapa Tanzania majanga majority ya raia huku hatuendeshi magari tunakanyaga tu accelerator za vyombo vya usafiri kutoka kampuni ya Toyota