Nimeingia kwenye ATM ya CRDB hapo buguruni sheli nikasikia harufu mbaya ya uvundo,nikajiuliza hii hali ya hewa vipi??nikaangaza macho nikaona buti za walinzi pale zinatoa harufu ya miguu ni balaa.
Nimeingia kwenye ATM ya CRDB hapo buguruni sheli nikasikia harufu mbaya ya uvundo,nikajiuliza hii hali ya hewa vipi??nikaangaza macho nikaona buti za walinzi pale zinatoa harufu ya miguu ni balaa.
Mmmh.... very true.niliingia wiki iliyopita, mibuti ya walinzi wale aisee ni balaa.sikuwa na jinsi ilibidi nifunike pua tu ila wanaosimamia hiyo atm walishughukie.
Mmmh.... very true.niliingia wiki iliyopita, mibuti ya walinzi wale aisee ni balaa.sikuwa na jinsi ilibidi nifunike pua tu ila wanaosimamia hiyo atm walishughukie.
Nimeingia kwenye ATM ya CRDB hapo buguruni sheli nikasikia harufu mbaya ya uvundo,nikajiuliza hii hali ya hewa vipi??nikaangaza macho nikaona buti za walinzi pale zinatoa harufu ya miguu ni balaa.