Naona umekuja napo pataka, thibitisha hili na umejuaje ? Naam a anapanga yatokee na yote yapo katika milki yake.Haya yanatokea pasi na chochote ila bahati mbaya, haiitaji hata akili kubwa kufikiria hili... kwani kuna anaepanga mvua inyeshe au isinyeshe? Kuna anaepanga matetemeko au vimbunga? Ivo ni vitu vinatokea venyewe na ni nature...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushangaa wewe kusema tu from nowhere uumbaji ulitokea sababu ya mtu alifanya kazi hiyo anaitwa "Go"...sijui ulipata wapi evidence hiyoNaomba utusaidie uumbaji ulitokeaje na umejuaje hilo ?!
Sijui,wewe ndio unajuaNaomba utusaidie uumbaji ulitokeaje na umejuaje hilo ?!
La hujui kwanini unakanusja hayatunayo yasema sisi ? Kwa ulichokiandika unakiri alichokiandika mtoa mada kwamba mna matatizo ya akili, yaani kitu hukijui lakini unakipinga. Huu ni mfano bora sana kwa mtu asiye kuwa na akili.Nakushangaa wewe kusema tu from nowhere uumbaji ulitokea sababu ya mtu alifanya kazi hiyo anaitwa "Go"...sijui ulipata wapi evidence hiyo
Mimi sijui uumbaji ulitokea wapi,certainly wewe pia hujui maana hakuna ushahidi popote whatsoever that fictional man called "god" did anything,from where,and if at all he exists....
Mimi sijui,im open to see your evidence so that I can agree with you,the issue is,you DONT have any!
Hizi nyege za kusema aliumba fulani as if ulimuonaga,ni nyege mufilisi kabisa,na usije kuniambia ulisoma some stupid book writen by stupid old jews men from their heads claiming they know "all" eti waliota na ni true,ni ukichaa!
Kama hujui umejuaje kama si Mungu ? Hivi haya mnayo yaandika huwa mnayafikiria. Ushakiri hujui halafu unasema siyo Mungu.Sijui,wewe ndio unajua
Ila ulichokitoa hapa kwamba kuna mtu anaitwa "mungu" ndio kaumba ni uongo maana huna evidence yeyote tangible
Usije niambia umesoma kitabu cha hadithi kinaitwa biblia walichoandika wapumbavu old jew men eti wanakuja na hoja eti "waliota" hivyo ni kweli,ni only lunatics like can believe that nonsense za "kuota" au "kuoteshwa" ndoto...
What a pile of "shit"!
Allah anapanga mvua inyeshe? Mbona Saudi 'wanalima' mvua? Ivo wanatengeneza mvua yao wenyewe. How artificial rain can make a difference to Saudi Arabia and Gulf region’s water situationNaona umekuja napo pataka, thibitisha hili na umejuaje ? Naam a anapanga yatokee na yote yapo katika milki yake.
Allah anapanga mvua inyeshe na wpai inyeshe na wapi isinyeshe.
Anasema Allah aliye juu :
65. Na Mwenyezi Mungu ameteremsha maji kutoka mbinguni na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake. Kwa hakika katika hayo imo Ishara kwa watu wanao sikia. (an-Nahl : 65)
Akasema tena Allah :
28. Naye ndiye anaye iteremsha mvua baada ya wao kwisha kata tamaa, na hueneza rehema yake. Naye ndiye Mlinzi Mwenye kuhimidiwa. (ash-Shuura : 28)
Akasema Allah mtukufu :
43. Je! Huoni ya kwamba Mwenyezi Mungu huyasukuma mawingu, kisha huyaambatisha, kisha huyafanya mirundi? Basi utaona mvua ikitoka kati yake. Na huteremsha kutoka juu kwenye milima ya mawingu mvua ya mawe, akamsibu nayo amtakaye na akamuepusha nayo amtakaye. Hukurubia mmetuko wa umeme wake kupofua macho. (an-Nuur :43)
Angalizo tunapowawekea hizi aya mnatakiwa mzisome Kisha mtafakari, sababu Allah anapenda watu wanao fikiri na kuzingatia.
Sasa wewe tuthibitishie ya kuwa yanatokea tu pasi na chochote.
Uovu yanatokana na mkengeuko wa binadamu.Alieumba uovu ni nani?
Yaani wewe unaamini "mvua" zinajengwa na "mungu"?Naona umekuja napo pataka, thibitisha hili na umejuaje ? Naam a anapanga yatokee na yote yapo katika milki yake.
Allah anapanga mvua inyeshe na wpai inyeshe na wapi isinyeshe.
Anasema Allah aliye juu :
65. Na Mwenyezi Mungu ameteremsha maji kutoka mbinguni na kwa hayo akaihuisha ardhi baada ya kufa kwake. Kwa hakika katika hayo imo Ishara kwa watu wanao sikia. (an-Nahl : 65)
Akasema tena Allah :
28. Naye ndiye anaye iteremsha mvua baada ya wao kwisha kata tamaa, na hueneza rehema yake. Naye ndiye Mlinzi Mwenye kuhimidiwa. (ash-Shuura : 28)
Akasema Allah mtukufu :
43. Je! Huoni ya kwamba Mwenyezi Mungu huyasukuma mawingu, kisha huyaambatisha, kisha huyafanya mirundi? Basi utaona mvua ikitoka kati yake. Na huteremsha kutoka juu kwenye milima ya mawingu mvua ya mawe, akamsibu nayo amtakaye na akamuepusha nayo amtakaye. Hukurubia mmetuko wa umeme wake kupofua macho. (an-Nuur :43)
Angalizo tunapowawekea hizi aya mnatakiwa mzisome Kisha mtafakari, sababu Allah anapenda watu wanao fikiri na kuzingatia.
Sasa wewe tuthibitishie ya kuwa yanatokea tu pasi na chochote.
This meme sums it all...Science have almost all answers ulizonarrate hapa, ila ukiishia tu ooh, huyu dada ni mrembo, sijui Mungu kaumba bwana....unajilimit kutafuta majibu ya why ni mrembo.
Nyie wa upande huo mnaendekeza uvivu wa kutumia ubongo while atheist wanawasaidia majibu ambayo yanawapa mpk nyenzo za kuandika mawazo yenu rojorojo!
achana na huyu kichaa mkuuAllah anapanga mvua inyeshe? Mbona Saudi 'wanalima' mvua? Ivo wanatengeneza mvua yao wenyewe. How artificial rain can make a difference to Saudi Arabia and Gulf region’s water situation
Wachina pia wana teknolojia ya kuzuia mvua isinyeshe...
Sisi bongo tunakalia tu kukesha kwenye nyumba za ibada kumuomba huyo imaginary god atuletee mvua, sjui apunguze njaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sindio, sayari yetu tu hapo jirani 'venus' nayo mvua zinanyesha huko... kwahio na huko pia Allah anafungulia mvua pia?Yaani wewe unaamini "mvua" zinajengwa na "mungu"?
hujui mvua zinajijengaje scientifically?hakuna cha sijui "religious intervention" and shit like that...
Kama ni hivyo basi arbitrarily kila tukio kwenye universe halitokei bila huyo "mungu" kulifanya sasa...
Hadi kubaka,kuua,kusema uongo,ufiraji,wizi,kupiga watu mapanga,etc ni yeye responsible basi!
Hapo kwenye troposphere ambapo mawingu yanajitengeneza ndio mbinguni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Allah anapanga mvua inyeshe? Mbona Saudi 'wanalima' mvua? Ivo wanatengeneza mvua yao wenyewe. How artificial rain can make a difference to Saudi Arabia and Gulf region’s water situation
Wachina pia wana teknolojia ya kuzuia mvua isinyeshe...
Sisi bongo tunakalia tu kukesha kwenye nyumba za ibada kumuomba huyo imaginary god atuletee mvua, sjui apunguze njaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Okayy... quran inasema kua mungu ndie anashusha mvua?Kama hujui umejuaje kama si Mungu ? Hivi haya mnayo yaandika huwa mnayafikiria. Ushakiri hujui halafu unasema siyo Mungu.
Kingine nani alikwambia hatuna evidence ? Thibitisha kama ni uongo ya kuwa Mungu hajaumba. Kisha utuambie imekuwaje ulimwengu ukawepo.
Mimi nimesoma Qur'aan, habari za Biblia sihusiki nazo wenye kitabu Chao watakuja kuelezea. Mimi nimesomea Qur'aan na Hadithi sahihi za Mtume.
Wametengeneza imaginary person mwingine ila huyu anaitwa Shetani.Yaani wewe unaamini "mvua" zinajengwa na "mungu"?
hujui mvua zinajijengaje scientifically?hakuna cha sijui "religious intervention" and shit like that...
Kama ni hivyo basi arbitrarily kila tukio kwenye universe halitokei bila huyo "mungu" kulifanya sasa...
Hadi kubaka,kuua,kusema uongo,ufiraji,wizi,kupiga watu mapanga,etc ni yeye responsible basi!
Hii inafanya mtu awe irresponsible kwa makosa yake. Makosa kafanya yeye, lawama anatupia imaginary/mythical creature...Wametengeneza imaginary person mwingine ila huyu anaitwa Shetani.
Ndio kila kitu kibaya kapewa yeye
Upo sahihi sana.Hii inafanya mtu awe irresponsible kwa makosa yake. Makosa kafanya yeye, lawama anatupia imaginary/mythical creature...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoeleweka kwa jambo kunatokana na sababu nyingi, ikiwemo ya kutoeleweka maelezo yake. Ni mawili, huenda sikuelewa au hukueleweka.Napata mashaka kama umesoma na kuelewa post yangu.
Kwanza ukisema mabaya yanatokana na matendo yetu, itabidi utuambie vipi kuhusu matetemeko ya huko Turkey na Syria yanasababishwa na matendo ya kina nani?
wewe ndio una mtindio wa ubongo wala sio wao...
nani kakwambia uumbaji alifanyaga an entity called "god"?
Where do you invent that nonsense?
"Uovu" unamaanisha kazi mbovu za wakandarasi au unamaanisha dhambi?Kutoeleweka kwa jambo kunatokana na sababu nyingi, ikiwemo ya kutoeleweka maelezo yake. Ni mawili, huenda sikuelewa au hukueleweka.
Tetemeko ni asili (nature) halitokani na matendo yetu. Ila madhara ya tetemeko la Uturuki na Siria ni matokeo ya uovu wa binadamu.
Tetemeko liliathiri kazi ya mikono ya binadamu bila kuathiri milima na mabonde ambavyo havijengwa na binadamu. Ndiyo maana makandarasi wao wako hatiani.