Kentsuhcy Wrudate
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,075
- 677
Universe iliform from a singularity, ika explode, ndio big bang hio. Kama atomic bomb inavowork.Kijana haya unayo andika hayana maana, naandika kwa Kiswahili chepesi sana. Nyumba inaweza kujijenga au kutokea pasi na chochote ?
Siyo lazima uwe na uzoefu na kitu ndiyo ujue hakika yake. Uwepo wa kitu husika huonyesha uwepo wa mengine.
Kuna ulimwengu ngapi kijana ? Hili sharti la ku experience kitu ndiyo ujue uhakika wa mambo umelipata wap I? Sababu ni sharti mfu mno na halifanyi kazi katika uhalisia ndiyo maana nikasema hivi huna hoja unaleta utoto.
Siyo lazima uwe na backup, unapo ona uwepo wa nyumba kujua uwepo wake unahitajika kuwa na nini ? Kwahiyo wewe unapo dai Mungu hayupo ushawahi ku experience kutokuwepo kwa Mola katika ulimwengu (kama upo huo ulimwengu ) mwingine ?
Duh... [emoji2365]Kijana unafatikia mambo ya Sayansi ? Unaweza kunipa jaribuo lolote la Kisayansi lililo fanyika kuonyesha Dunia inazunguka ? Sasa kama huijui Sayansi achana na jambo hili. Utakimbia hii nada kijana.
Au ni jaribio gani la Kisayansi lililo fanyika kuonyesha Jua lipo katikati na Dunia inazunguka jua ?
Naposema ngano namaanisha mambo yakutungwa yakawekwa katika Sayansi. Ushawahi kuniuliza kwanini Einstein alikuja na ishu ya Special Relativity ? Lengo ni kumuhujumu Albert Michelson aliyethibitisha ya kuwa Dunia haizinguki kwa kutumia Light Beams. Sababu Einstein alikuwa muumini wa wa theory ya Copernicus akaamua kumuhujumu mwenzake.
Siyo Mimi tu wenyewe tu walisha chalenjiana kijana kitambo sana. Fatilia haya mambo. Kisha jibu maswali niliyo kuuliza.
Ebu nieleze huyo Albert Michelson alithibitishaje kuwa dunia haizunguki na kumpinga Albert Einstein?Kijana unafatikia mambo ya Sayansi ? Unaweza kunipa jaribuo lolote la Kisayansi lililo fanyika kuonyesha Dunia inazunguka ? Sasa kama huijui Sayansi achana na jambo hili. Utakimbia hii nada kijana.
Au ni jaribio gani la Kisayansi lililo fanyika kuonyesha Jua lipo katikati na Dunia inazunguka jua ?
Naposema ngano namaanisha mambo yakutungwa yakawekwa katika Sayansi. Ushawahi kuniuliza kwanini Einstein alikuja na ishu ya Special Relativity ? Lengo ni kumuhujumu Albert Michelson aliyethibitisha ya kuwa Dunia haizinguki kwa kutumia Light Beams. Sababu Einstein alikuwa muumini wa wa theory ya Copernicus akaamua kumuhujumu mwenzake.
Siyo Mimi tu wenyewe tu walisha chalenjiana kijana kitambo sana. Fatilia haya mambo. Kisha jibu maswali niliyo kuuliza.
Ukiangalia vizuri nacho kiandika na jinsi unavyokuja kujibu bila shaka utaona tatizo lipo kwakoNdiyo maana nakwambia unaleta utoto, nilipo kuuliza wewe swali ukiona nyumba unaona nini au unajulishwa uwepo wa nini ni kule kutambua uhalisia, Sasa unakataa nini na unakubali nini ? Haya ndiyo madhara ya uoga na kutofikiria jambo liko wazi unalipinga na kulikiri, kwani hapa nilikuwa naongelea mambo ya maabara ?
Kwa maana hiyo kwa kukiri kwako hili, hayo mengine yote uliyo yaandika yafute hayana maana.
Na ujue tunaposema uhalisia tunamaanisha utambuzi ule wa kawaida kutokana na jambo lilivyo katika dhati yake.
Uhalisia bila awareness ni kujidanganyaMaana yake uhalisia na ndiyo unao hukumu huu.
Ndiyo maana nilikwambia huko mwanzo kwa hali hiyo hakuhitajiki mtu kupewa ushahidi ya kuwa baba ni mkubwa kiumri kuliko mtoto, sababu uhalisia wa kimaumbile Usha hukumu na jambo ni lenye kujulikana.
Ulimwengu upoInakuwa Irrelevant kivipi ? Dunia IPO haipo ?
Uhalisia ambao timeutumia katika nyumba ndiyo uhalisia ambao upo katika dunia.
Kwamba uwepo wa kitu huonyesha uwepo wa vingine. Ndiyo maana huwa tunawaomba ushahidi mtuambie kama Dunia haijajiumba basi imejiumba. Je unao ushahidi huo au utuambie imetokana pasi na chochote.
Kwenye hilo waachie waumini wenzake wampinge
Hatua ya mwanzo nimeieleza Mimi na ndipo msingi wa swali ulipo. Wewe unakuja kuleta mambo ambayo hausiani. Msingi wa swali umemili kwenye uhalisia.Hilo unalolizungumza wewe ni jambo la mbele baada ya hatua kadhaa kuzipita huku nyuma.
Hoja yangu imejikita kwenye hatua za mwanzoni kuhusu utambuzi wa kujua hii ni nyumba na inajengwa
Nazungumzia mazingira yaliyokujengea ufahamu wa kujua hii ni nyumba
Ndiyo maana nikasema hivi hakuna haja ya kuwepo kingine ili uthibitishe kingine, ndiyo maana naongelea uhalisia. Nilikuuliza kulingana na ulichokidai kuwepo backup. Kwamba Kuna ulimwengu mwingine ambao ulishawahi kuwepo ili hoja yako iwe kweli kwamba Muumbaji hayupo ?Ulimwengu upo
Je kuna record gani inayoonesha kuwa kuna ulimwengu uliwahi kuumbwa ili wewe ufikirie kuwa huu ulimwengu unahitaji muumbaji?
Safi, imekuwaje ulimwengu ukawepo ? Je umetokea pasi na chochote au umejiumba ? Hakuna swali lingine zaidi ya haya mawili. Jibu swlai hili.Ulimwengu upo
Je kuna record gani inayoonesha kuwa kuna ulimwengu uliwahi kuumbwa ili wewe ufikirie kuwa huu ulimwengu unahitaji muumbaji?
Hujaonyesha haja ya ulazima wa kuwepo backup kijana. Hili Bado unalazimisha. Maana yake kutokuwepo kwa backup Kuna hitimisha nini juu ya ulimwengu kwamba haujaumbwa ? Kama haujaumbwa umejiumba wenyewe au umetokea pasi na chochote ? Jibu hili swali.Kama huna backup inayokusapoti basi utakosa authenticity ya kusema habari za kuumba/kuumbwa
Jibu swali nililo kuuliza.Hilo ndio swali ambalo unatakiwa ujibu pale unapotaka kutoa tafsiri ya kitu ambacho hakijawahi kufanyika
Mtu anayesema nyumba inajengwa anakuwa na sababu ya kiuzoefu na hicho kitu inayomsapoti hoja yake kuwa nyumba zinajengwa.
Wewe unayesema ulimwengu umeumbwa, wapi uliwahi kushuhudia ulimwengu ukiumbwa ili iwe rahisi kufikiri huu ulimwengu nao uliumbwa?
Hili ni swali la kitoto sana. Sijakuwepo ila uhalisia unaonyesha ulimwengu umeumbwa na kupangiliwa mpaka ukawa hivi ulivyo. Kadhalika aliye umba amethubitisha Hilo Toka kwenye vitabu vyake.Wewe unayesema ulimwengu umeumbwa, wapi uliwahi kushuhudia ulimwengu ukiumbwa ili iwe rahisi kufikiri huu ulimwengu nao uliumbwa?
Unarudia swai ambalo nimeshakuuliza, uhalisia umenifanya nijue hilo.Kama huna uzoefu hukijui utajuaje kuwa hii ni nyumba?
Thibitisha hili.Universe iliform from a singularity, ika explode, ndio big bang hio. Kama atomic bomb inavowork.
Kwa observation za sasa hakuna theory inayopingana na hio maana bado universe inaonekana kuexpand kutokana na ile BANG!
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu maswali niliyo uliza.
Umejuaje kwamba hivo ni vitabu vyake?Hili ni swali la kitoto sana. Sijakuwepo ila uhalisia unaonyesha ulimwengu umeumbwa na kupangiliwa mpaka ukawa hivi ulivyo. Kadhalika aliye umba amethubitisha Hilo Toka kwenye vitabu vyake.
Sasa wewe onyesha kinyume chake, na utonyeshe ukweli wa madai yako.
Jua kuchomoza na kuzama.Jibu maswali niliyo uliza.
Bado universe ina expand! Kwa maana hio ilikua kitu kimoja ikaexpand, kama ilivo bomb!Thibitisha hili.
Unaongea haya sababu una mapokeo ya dini.Ushswahi kujiuliza vipi walioleta dini huku kwetu afrika wasingefika,ungekua na imani gani kumuhusu mungu now??Salaamu wakuu.
Niende Moja kwa moja kwenye mada.
Utakuta mtu anasifia gari ; "Hii gari kiboko kweli mainjinia wake walikuna vichwa balaa katika usanifu na gari hii haina mpinzani kwani katika kila nyanja ipo okay", ilmuradi tu gari litasifiwa hata kama linazo kasoro na mapungufu fulani.
Hao hao ma atheists utawasikia tena wakisifia; "Hii computer achana nayo, inakasi kubwa balaa utadhani haikundwa na.binadamu bali imedondoka kutoka mbinguni".
Ma atheists hawaishi hapo tu, hebu wakaribishe kwenye pilau utawasikia; "Aise huu msosi kiboko, mtamu kweli, sijui kapika nani !!? Mpishi katoka wapi??!, pasi shaka umepikwa na mtu kutoka pwani kwani watu wa bara hawawezi mapishi ya aina hii !! ".
Huyo atheist anatoa madai kana kwamba huyo mpishi anamjua na kamuona!!, sasa kwa utani tu jaribu kumwaambia kwamba msosi huo umejipika wenyewe!!, utashambuliwa kwa kejeli na matusi na kupewa majina mabaya ya kukutoa akili, utawasikia wakisema; wewe unamatatizo kichwani mwako inawezekanaje chakula kijipike chenyewe??!!.
Sasa njoo kwenye uumbaji wa dunia na uwaulize; je hawaoni uzuri wa dunia na vilivyopo juu yake, navyo havijaumbwa??, hakuna nafsi iliyoumba dunia.na ulimwengu??, endelea kuwahoji; kama wapo Ma engineers waliounda lile gari, ile computer na yupo mpishi aliyepika lile pilau safi vipi akosekane Yule aliyeumba dunia safi na vilivyomo??--- hapo akili zao zinashikwa na wazimu kwani wanajua ni lazima Mungu atajwe katika uumbaji wa dunia na vilivyomo na wao kusikia jina Mungu kwao ni ugonjwa wa mzio (allergy), sasa watakuuliza; Huyo Mungu yuko wapi??!, ukiwajibu; Mungu huwa haonekani, waona wamepata silaha, watahoji; tutaaminije kitu kisichoonekana ndio kimeumba hii dunia??-- wanasahau kwamba hata ile pilau waliokula hawakumuona mpishi wake lakini wanaamini ilipikwa na mtu-mpishi lakini wakiambiwa Kuna muumba Mungu wa dunia na ulimwengu hawataki kusikia.
Ewe Mungu wasamehe hawa viumbe wako na uwaongoze katika njia zako na uwaondoshee kibri na majivuno.