Aslay aangukia kwa Alikiba

Ommy dimpoz week ya nne wimbio wake haujafika than hata views 800,000.. Hali ngumu kwake..
 
Uzi huu wamejaa anti-Kiba wanaumia roho kusikia Aslay kufanya kazi na Ali K ,watanzania tuache roho za kichawi ,mtu hata huo mkataba hujui utakuwa unahusu vitu gani tayari mate yamekujaa mdomoni
Tatizo kiba na aslay...aslay ana uwezo mkubwa kuliko kiba sema kiba mkongwe..halafu huyo kiba mwenywe hana maendeleo atawezaje kumsaidia dogo wkt abdu kiba nae hana lolote
 
Walishindwa kumpaidha baraka na lady jay dee wataweza kwa aslay
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…