Kwanza udaili wa kujiunga jeshi haufuati viwango na maadili ya kijeshi ,undugu,ukabila unatawala sasa. Ukibahatisha kuingia jeshi bila refa umeumia hutapewa kitengo cha ela utalinda benki
pili polisi kukaa uraiani kunasababishia kushuka maadili,ulevi,ukahaba,uzinzi ,kuishiwa mshahara na kuishi kwa madeni hili ni kwa majeshi yote nchini
tatu viongozi hawaheshimiani ngazi kwa ngazi mbaya zaidi vitengo vyenye ulaji na visivyo nyeti
nne viwango vya mishahara ni kidogo ukilinganisha na maisha wanayoishi uraiani wangekuwa mess au quarters wangesitirika ndo maana wanajiingiza kwenye tabia mbaya kivitendo ujambazi,nyara ,kuuza mafuta nk