Scaboma JF-Expert Member Joined Jul 29, 2018 Posts 335 Reaction score 212 Aug 11, 2018 #1 Habari wadau, nauliza mwenye kujua soko la Asali ya nyuki wakubwa kutoka singida wadau naomba tujuzane tafadhali.
Habari wadau, nauliza mwenye kujua soko la Asali ya nyuki wakubwa kutoka singida wadau naomba tujuzane tafadhali.
Jane Msowoya JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 4,795 Reaction score 8,943 Aug 11, 2018 #2 Sema unauzaje Kiasi ulichonacho Mawasiliano yako Ndo kutangaz kwenyewe huko mkuu
D daudycharles Member Joined Feb 19, 2014 Posts 50 Reaction score 16 Aug 11, 2018 #3 Shcuba Escober said: Habari wadau, nauliza mwenye kujua soko la Asali ya nyuki wakubwa kutoka singida wadau naomba tujuzane tafadhali. Click to expand... Unauzaje dumu la lita 20
Shcuba Escober said: Habari wadau, nauliza mwenye kujua soko la Asali ya nyuki wakubwa kutoka singida wadau naomba tujuzane tafadhali. Click to expand... Unauzaje dumu la lita 20
Jane Msowoya JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 4,795 Reaction score 8,943 Aug 11, 2018 #4 Shcuba Escober said: Kiasi kilicho bakia ni lita 20 naiuza yote Kwa bei ya jumla 140,000. Mawasiliano zaidi ni 0620472101 wakuu. Click to expand... Hayo ndo maneno
Shcuba Escober said: Kiasi kilicho bakia ni lita 20 naiuza yote Kwa bei ya jumla 140,000. Mawasiliano zaidi ni 0620472101 wakuu. Click to expand... Hayo ndo maneno
Scaboma JF-Expert Member Joined Jul 29, 2018 Posts 335 Reaction score 212 Aug 11, 2018 Thread starter #5 Jane Msowoya said: Hayo ndo maneno Click to expand... Sawa mkuu.
Jane Msowoya JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 4,795 Reaction score 8,943 Aug 12, 2018 #6 Shcuba Escober said: Sawa mkuu. Click to expand... Niuze Lita tano bas
Scaboma JF-Expert Member Joined Jul 29, 2018 Posts 335 Reaction score 212 Aug 12, 2018 Thread starter #7 Jane Msowoya said: Niuze Lita tano bas Click to expand... Aina tabu tuwasiliane namba tayari nimeshaweka au nitumie zako Kwa mawasiliano zaidi.
Jane Msowoya said: Niuze Lita tano bas Click to expand... Aina tabu tuwasiliane namba tayari nimeshaweka au nitumie zako Kwa mawasiliano zaidi.
Scaboma JF-Expert Member Joined Jul 29, 2018 Posts 335 Reaction score 212 Aug 12, 2018 Thread starter #8 daudycharles said: Unauzaje dumu la lita 20 Click to expand... Lita 20 ni shs 140,000 mkuu.
Jane Msowoya JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 4,795 Reaction score 8,943 Aug 12, 2018 #9 Shcuba Escober said: Aina tabu tuwasiliane namba tayari nimeshaweka au nitumie zako Kwa mawasiliano zaidi. Click to expand... Poa ntakuchek mwaya
Shcuba Escober said: Aina tabu tuwasiliane namba tayari nimeshaweka au nitumie zako Kwa mawasiliano zaidi. Click to expand... Poa ntakuchek mwaya
Jenseny JF-Expert Member Joined Jan 26, 2011 Posts 1,743 Reaction score 1,742 Aug 12, 2018 #10 14000 ina maana kila kg ni 7000?
Scaboma JF-Expert Member Joined Jul 29, 2018 Posts 335 Reaction score 212 Aug 12, 2018 Thread starter #11 Jenseny said: 14000 ina maana kila kg ni 7000? Click to expand... Nico.
Scaboma JF-Expert Member Joined Jul 29, 2018 Posts 335 Reaction score 212 Aug 12, 2018 Thread starter #12 Jenseny said: 14000 ina maana kila kg ni 7000? Click to expand... Ndio.