Binafsi nimeshakoma kununua asali kwa wanaotembeza mtaani! Niliuziwa lita moja nikatumia siku 3 ikaganda! Baadae nikagundua ni asali kidogo imechanganywa nta na na sukari! Bora nikanunue iliyosindikwa kiwandani.
Binafsi nimeshakoma kununua asali kwa wanaotembeza mtaani! Niliuziwa lita moja nikatumia siku 3 ikaganda! Baadae nikagundua ni asali kidogo imechanganywa nta na na sukari! Bora nikanunue iliyosindikwa kiwandani.
Binafsi nimeshakoma kununua asali kwa wanaotembeza mtaani! Niliuziwa lita moja nikatumia siku 3 ikaganda! Baadae nikagundua ni asali kidogo imechanganywa nta na na sukari! Bora nikanunue iliyosindikwa kiwandani.
Boss sio kila mtu yuko hvyo ata kuonja unaruhusiwa ukiona kuna tatizo unarudisha siuzi kwa siku moja ila nimewekeza kila kitu ili kujijengea brand kubwa karibu ujaribu ili uwe mfano mzur kwa wengine